Nimefanikiwa kufungua online radio

Nimefanikiwa kufungua online radio

asante sana kwa ushauri wako nitafatikia ili ili niweze kupataa vifaa maana natamani isikike zaidi na online na mipango ipo sema uwezeshaji tu
Anza na hao wachungaji kwa kujua ratiba zao za ibada,fursa iyo badala ya muda mwingi kupiga nyimbo
 
Hapa naisikiliza radio upo vizuri...je kama ivi unavyosema online radio muda wote unakuwa unatumia bando lako ama online yako inakuwaje
 
Mzee kigger tuingie ubia hyo redio
Nachangia equipment na finance then tunagawana hisa ili ikianza kuleta faida tunakula pasupasu
 
Mzee kigger tuingie ubia hyo redio
Nachangia equipment na finance then tunagawana hisa ili ikianza kuleta faida tunakula pasupasu
Yaani 50 by 50? Efficiency ya hiyo kampuni itakua sifuri!

Lazima pawepo na mtu mwenye power zaidi wote mkiwa sawa hilo ni tatizo.
 
Nilupongeze Sana mkuu wangu naamini wazo hili umelitoa mahali HV na umjitaihidi San kuwaork hard mungu Ni mwema utafika mbali
 
Mwamposa atakupiga pesa.ndefu kunrusha online radio na anpendwa Sana hvyo komaa sna
 

2 Timotheo 1:7 SRUV​

Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi
Warumi 13:1 SRUV

Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.

Wewe ni sawa na WAHUNI wengine TU...TII MAMLAKA
 
Hongera sana ndugu.

sasa kama uliunda mwenyewe hii redio ya online kwanini usiuuze hata 10million then, ununue vifaa vyote halafu ukae kitako kuanza kutengeneza redio online ingine.

Watu wa kuwauzia-

wachungaji
mitume na manabii
watu binafsi.

Ushauri lakini^*
 
Aisee siyo kazi rahisi.

una utaalum wa computer?
Screenshot_20220618-065035_Chrome.jpg
 
Aisee siyo kazi rahisi.

una utaalum wa computer?View attachment 2264348
Juzi nimekusikiliza usiku kucha, unagusa mle mle!
Kuhusu earphone niliyokuahid nipe namba zako PM Mkuu,

Ila uniwekee kipande cha kuwa mtangazaji wako buuuuure kbisa (napenda tu kutangaza by nature), kama una uwezo wa kuruhusu hata niendeshe kipindi toka mbali na ulipo inakuwa poaw sana (tutaanza kuweka visegment kidogodogo, mfano maisha ya ujana na Neno la Mungu, Maisha ya ukiristo na uchumi wetu, God's night Lovers, Njonzi njema Mikononi mwa bwana n.k), na unipe kipindi usiku tu maana mchana mishe zinabaana
 
unazingua
Juzi nimekusikiliza usiku kucha, unagusa mle mle!
Kuhusu earphone niliyokuahid nipe namba zako PM Mkuu,

Ila uniwekee kipande cha kuwa mtangazaji wako buuuuure kbisa (napenda tu kutangaza by nature), kama una uwezo wa kuruhusu hata niendeshe kipindi toka mbali na ulipo inakuwa poaw sana (tutaanza kuweka visegment kidogodogo, mfano maisha ya ujana na Neno la Mungu, Maisha ya ukiristo na uchumi wetu, God's night Lovers, Njonzi njema Mikononi mwa bwana n.k), na unipe kipindi usiku tu maana mchana mishe zinabaana
usiwaze kaka system iliyopo unaweza kutangaza ukiwa hapo hapo ili mradi tu uwe na access net basi na katika kitu nilicho plan watangazi wote watakua wanatangazia sehem tofauti hakuna kujazana studio wala nini cha msingi nikusajili tu mambo yote safiii itakua radio ya kwanza ina watangazaji ambao awafiki studio hahaha!
 
Mzee kigger tuingie ubia hyo redio
Nachangia equipment na finance then tunagawana hisa ili ikianza kuleta faida tunakula pasupasu
wazo zuri ila ata tukipata kibali haiwezi kuwa radio ya kibiashara swala la faida dah!
 
usiwaze kaka system iliyopo unaweza kutangaza ukiwa hapo hapo ili mradi tu uwe na access net basi na katika kitu nilicho plan watangazi wote watakua wanatangazia sehem tofauti hakuna kujazana studio wala nini cha msingi nikusajili tu mambo yote safiii itakua radio ya kwanza ina watangazaji ambao awafiki studio hahaha!
Mbona huku sasa una ID mbili?
 
Mzee kigger tuingie ubia hyo redio
Nachangia equipment na finance then tunagawana hisa ili ikianza kuleta faida tunakula pasupasu
wazo zuri ila ata tukipata kibali haiwezi kuwa radio ya kibiashara swala la faida dah!
Aisee wewe Brother Mungu akubariki mnoo.... Nimesikiliza kutokea Saudi Arabia _Makkah
shukrani sana pia pale saudia tupo
Warumi 13:1 SRUV

Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.

Wewe ni sawa na WAHUNI wengine TU...TII MAML

Mbona huku sasa una ID mbili?
hapana nina hii hii sina ingine
 
Hongera sana ndugu.

sasa kama uliunda mwenyewe hii redio ya online kwanini usiuuze hata 10million then, ununue vifaa vyote halafu ukae kitako kuanza kutengeneza redio online ingine.

Watu wa kuwauzia-

wachungaji
mitume na manabii
watu binafsi.

Ushauri lakini^*
wazo zuri akifika wa milion 10 nampa
 
Back
Top Bottom