Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi nyingi online radio hazilipiwi nilicho fanya ni kufanya radio ipatikane kwa kila nchi sio kusajili kwenye mamlaka huska ona baadhi ya nchi za afrika tunazo patikanaUmewezaje kusajiri nchi zingine ukashindwa kusajiri hapa bongo?
#MaendeleoHayanaChama
Umewezaje kusajiri nchi zingine ukashindwa kusajiri hapa bongo?
#MaendeleoHayanaChama
asante kwa ushauri pale twitter nimfate dm au kwenye post ngoja nimwambie sifahamu vile atapokeaHongera,
Mtafute Nape Nnauye huko tweeter ili aukupe msaada wa mawimbi.
Nchi nyingine watu kama nyie mnapata elimu zaidi ili ugundue more and more.
Bongo utasikia amekopi ie gari la masudi, but komaa utafika tu.
Angalia utakavyoongea naye huwa najibu,asante kwa ushauri pale twitter nimfate dm au kwenye post ngoja nimwambie sifahamu vile atapokea
Vizuri sanagharama nyingi ni kujifunza nilitumia mda mwingi sana haifiki laki 3
Mungu akuongeze zaidi kupitia sadaka yako hii.Nitafute nikupe Mic moja ndogo
utani dm namba yakoMungu akuongeze zaidi kupitia sadaka yako hii.