Nimefanikiwa kufungua online radio

Nimefanikiwa kufungua online radio

Umefungua redio ya dini na unavunja sheria kwa kutoisajili Serikalini kupitia TCRA...kwa hiyo wewe ni mwizi unaiibia Serikali mapato yake. Umaana wa hiyo injili haupo. Ulifaa kuwa mfano uisajili kisha uendelee na uinjilishaji. I don't support your initiative kama unavunja sheria.
 
Umefungua redio ya dini na unavunja sheria kwa kutoisajili Serikalini kupitia TCRA...kwa hiyo wewe ni mwizi unaiibia Serikali mapato yake. Umaana wa hiyo injili haupo. Ulifaa kuwa mfano uisajili kisha uendelee na uinjilishaji. I don't support your initiative kama unavunja sheria.
Motivational speakers hua mna mbwembwe.
 
Habari wanaJF, naamini ni wazima

Nimefanikiwa kufungua online radio ambayo ni tzgospel japo sina studio wala sijafanikiwa kusajili lakini kituo kimekuwa na wasikilizaji wengi wanaosikiliza lakini nashindwa kutangaza maana sijafanikiwa kupata vifaa kama laptop mic mixer ndogo nk

Maana pesa najichanga ili niweze kusajili TCRA lakini kwa wakati huu naanza naomba kama kuna mtu atakuwa na laptop ndogo tu anisaidie, hata mic ndogo tu kusudi niendelee kutumia katika kueneza injili

Radio inapata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati mmoja na wasikilizaji hadi elfu 40,000 kwa siku kwa mwezi ni zaidi ya milion 1.

lakini pia tunajiunga taarifa ya habari kupitia tbc taifa taarifa ya habari saa 1 asubuhi 7 mchana na 2usiku online radio pekee ambayo inafanya ivo

View attachment 2263104

unaweza kunishauri 0757560345
Mungu akubariki sana mtumishi Kigger .
 
Habari wanaJF, naamini ni wazima

Nimefanikiwa kufungua online radio ambayo ni tzgospel japo sina studio wala sijafanikiwa kusajili lakini kituo kimekuwa na wasikilizaji wengi wanaosikiliza lakini nashindwa kutangaza maana sijafanikiwa kupata vifaa kama laptop mic mixer ndogo nk

Maana pesa najichanga ili niweze kusajili TCRA lakini kwa wakati huu naanza naomba kama kuna mtu atakuwa na laptop ndogo tu anisaidie, hata mic ndogo tu kusudi niendelee kutumia katika kueneza injili

Radio inapata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati mmoja na wasikilizaji hadi elfu 40,000 kwa siku kwa mwezi ni zaidi ya milion 1.

lakini pia tunajiunga taarifa ya habari kupitia tbc taifa taarifa ya habari saa 1 asubuhi 7 mchana na 2usiku online radio pekee ambayo inafanya ivo

View attachment 2263104

unaweza kunishauri 0757560345
Hongera,ila jitahidi uisajili haraka Tcra,maana nakukumbusha tu mswada wa sheria ya habari ulisha sainiwa.
 
Umefungua redio ya dini na unavunja sheria kwa kutoisajili Serikalini kupitia TCRA...kwa hiyo wewe ni mwizi unaiibia Serikali mapato yake. Umaana wa hiyo injili haupo. Ulifaa kuwa mfano uisajili kisha uendelee na uinjilishaji. I don't support your initiative kama unavunja sheria.
Da we kajamaa ni kakuda.
 
upako wa kibududani embu kuwa serious basi unavyo andika
 
Umefungua redio ya dini na unavunja sheria kwa kutoisajili Serikalini kupitia TCRA...kwa hiyo wewe ni mwizi unaiibia Serikali mapato yake. Umaana wa hiyo injili haupo. Ulifaa kuwa mfano uisajili kisha uendelee na uinjilishaji. I don't support your initiative kama unavunja sheri

upako wa kibududani embu kuwa serious basi unavyo andika
nitabadilisha nafikiri nimekosea
 
Back
Top Bottom