kila mtangazaji ana kuwa anatangazia alipo na sauti itasikika vizuri hatariiNimependa hiyo. Katik orodha ya wtngazaji wa vipindi vy usiku (ikiwemo taarifa ya habari) weka na jina langu. Kam mdau aliyetangulia, sitaki kufa kabla sijasikika redioni.
kuna kijana yuko kigoma alifungua radio kwani alikamatwa ? au hadi na mimi nimuite milard ayo ? bro ili jambo ni kubwa mno wao pia wameonaNa mimi nsmshangaa. Hapa kajishitaki tcra. Watamtokea mara moja kama mwewe
labda tcra wanisaidie maana nimefanya ubunifu wa kipekee sio kwamba tcra awajaniona hapana radio langu niya pili kusikilizwa baada ya. clouds utapitia hii chat hapa Free Internet Radio Stations - best Tanzania music and talk stations at Online Radio Box na hapo nimeenza tu mwaka jana mwishoni napata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati 1 maana radio iko kila nchi
hakuna radio ambayo iko kila nchi zaidi ya tzgospel mfano radio iwe na frequency kila nchi ndio ilivo tzgospel radio
jambo la pili ni radio inajiunga na tbc taarifa ya habari saa 1 asubuhi mukhutasari 5 adhuhuri,saa kumi jioni na saa 2 usiku na kujiunga na dw 7 mchana na 12 jioni ila kwa dw ni ulimwengu wa habari pekee ake sio zaidi ya dakika 10 na hapo inajiunga yenyewe bila internet
hakuna radio yoyote duniani imefikia hivi nyingi wanaweka nyimbo tu basi nafikiri tcra wanisaidie hapo
Nimekupigia kura Kijana wa MUNGU. Barikiwa sana Mtumishibwana yesu asifiwe! wadau wa jf basi nimecheguliwa kuwania tuzo ya vijana wabunifu TEYA yani tanzania emerging youth award,basi unaweza kunipigia kura online utaingia hapa TEYA | Tanzania Emerging Youth Awards utaona TZGOSPEL RADIO utaweka vote hapo basi utakuwa umenika kwenye kushinda tuzo iyo.basi niwachukuru maana jf akuna jambo linalo shindikana asanteni wadau.
View attachment 2320275
Nimekupigia kura yangu kijana, all the best..!!wadau wa jf naomba unisaidie kupiga kura kwenye tuzo ya tanzania emerging youth award 2022 ambapo nipo kwenye kipengele cha media of the years utaona radio yetu ya TZGOSPEL uta vote apo link hii
Dhambi zake kwa Mungu Mbinguni nazo zinazidi Kupungua.Unapata faida kiasi gani
nashukiru sana mungu akubarikiNimekupigia kura yangu kijana, all the best..!!View attachment 2327795