OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wasukuma hooyeeeeeeeee π€£π€£π€£π€£π€£
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki standAnyway lakini poa tu.
Nimetoka kukata ticket hapa Morogoro nina safari ya Mwanza kesho. Ghafla nikawaza toka mwaka uanze sijakaa siti moja na pisi kali. Kila nikisafiri nakaa na mabroo tu.
Ghafla nikapata akili,hivi siwezi kumpa tip agent aniweke siti moja na pisi kali? Nikajitoa ufahamu,nimempa agent buku 3 ili akipata pisi kali inakuja kukata tiketi aiambatanishe hapo kwenye siti yangu.
Agent nakutegemea sana broo. Kesho nitawapa feedback yatakayojiri
Ungekikazia hivo hivo gia ya kwanza unaanza kupiga stori za nyerere.Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
Legendary π₯Ungekikazia hivo hivo gia ya kwanza unaanza kupiga stori za nyerere.
Unakulaje vitu unapewa na mtu humjuiWasukuma hooyeeeeeeeee π€£π€£π€£π€£π€£
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasukuma hooyeeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Nakubali mzeeLegendary [emoji91]
Unakulaje vitu unapewa na mtu humjui
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£πππPisikali yenyewe ni mimi. Tukutane kesho.
Nime screen haya material, yanaweza kunilipaWasukuma hooyeeeeeeeee π€£π€£π€£π€£π€£
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Nime screen haya material, yanaweza kunilipa
haaa haaa usikate tamaaMaajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand