Nimefanya jambo la kijinga sana,sijui agent ananifikiriaje

Nimefanya jambo la kijinga sana,sijui agent ananifikiriaje

Wasukuma hooyeeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiwe na mkono wa birika tuu.

Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.

Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
kwa nondo hizi huyo manzi akichomoa basi tena
 
Najaribu kukumbuka...

"Haya.. penalty inatengwa na mpigaji Ni Sunzu, sunzu na kado..Ni Sunzu na Kado...haya..1...2....napigaa goooooooooooooool"

Sijui ni mwaka gani🤣🤣🤣
Hiyo 2011 ndiyo najiunga JF nikisomea comments za wakuu kupitia desktop za internet cafe. balaaa
 
Mimi sikuli ila pengine anaweza letewa pisi inayokubali kula baada ya kukaribishwa kwa upendo na kubembelezwa ....!😊
Hivi hamfungi kwaajiri ya korona,hamtaki kumtii baba yenu kwa siku 3 hizo
 
Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
[emoji1787][emoji1787]
 
Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pole
 
Wasukuma hooyeeeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣

Usiwe na mkono wa birika tuu.

Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.

Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Aah wap..😂
 
Wasukuma hooyeeeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣

Usiwe na mkono wa birika tuu.

Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.

Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Umenikumbusha mwaka 2012,nasafiri nimekaa dirishani, pembeni kakaa Dada mmoja na siti za nyuma wamekaa wadogo zake. Kufika mpaka mmoja na nchi ya malawi, kasumulu nadhani, gari ikasimama akawa anaagiza vitu nje kwa wafanyabiashara wanaopita madirishani awape wadogo zake, wakawa wameshika hivo vitu ili awape hela wampe hizo zaga, ile anaangaika kutoa fedha gari inataka ondoka.Nikavichukua nikatoa fedha nikawapa, zile Zaga nikamkabidhi nikimwambia pesa aachane nayo.
Hapo nimejidunga konyagi nasikiliza nyimbo kwenye earphones kupitia simu,ghafla nikatoa earphone upande mmoja nikampa nae awe anasikiliza, confidence ya konyagi hio.... Konda kupita nikatoa ten nikampa, nauli ni 4500 ila yeye akanirudishia 1000 akijua niko na yule dada cuz katuona tumeshea ear phones, maana yake akakata ya wawili, nikamchunia tu. Kesho yake alinitafuta yule Dada
 
Back
Top Bottom