careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Haaahaa nimechekaaaNime screen haya material, yanaweza kunilipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaa nimechekaaaNime screen haya material, yanaweza kunilipa
kwa nondo hizi huyo manzi akichomoa basi tenaWasukuma hooyeeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
kwa nondo hizi huyo manzi akichomoa basi tena
kabisa[emoji3]Akanywe kikombe cha babu asafishe nyota [emoji12]
Hiyo 2011 ndiyo najiunga JF nikisomea comments za wakuu kupitia desktop za internet cafe. balaaaNajaribu kukumbuka...
"Haya.. penalty inatengwa na mpigaji Ni Sunzu, sunzu na kado..Ni Sunzu na Kado...haya..1...2....napigaa goooooooooooooool"
Sijui ni mwaka gani🤣🤣🤣
Tafuta bus linaitwa phoenix madem kma wote
acha roho mbaya,kwani nikipiga we utapungukiwa nini 🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kumbe ndio wewe! nishampa bibi mmoja siti karibu yako, subiri kesho uone.
HahhaahahahhUngekikazia hivo hivo gia ya kwanza unaanza kupiga stori za nyerere.
Ungekikazia hivo hivo gia ya kwanza unaanza kupiga stori za nyerere.
Hivi hamfungi kwaajiri ya korona,hamtaki kumtii baba yenu kwa siku 3 hizoMimi sikuli ila pengine anaweza letewa pisi inayokubali kula baada ya kukaribishwa kwa upendo na kubembelezwa ....!😊
[emoji1787][emoji1787]Maajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 poleMaajenti wapuuzi sana, walinilia buku mbili hivi hivi kwenye Shabiby Ubungo! Muda wa kuondoka kaniletea kibibi sijui kina kisirani gani, sitaki tena huo ujinga. Ukumbuke ajenti yeye anabaki stand
Aah wap..😂Wasukuma hooyeeeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Dah.nimecheka sanaa!😂😂Ungekikazia hivo hivo gia ya kwanza unaanza kupiga stori za nyerere.
Pisikali yenyewe ni mimi. Tukutane kesho.
Umenikumbusha mwaka 2012,nasafiri nimekaa dirishani, pembeni kakaa Dada mmoja na siti za nyuma wamekaa wadogo zake. Kufika mpaka mmoja na nchi ya malawi, kasumulu nadhani, gari ikasimama akawa anaagiza vitu nje kwa wafanyabiashara wanaopita madirishani awape wadogo zake, wakawa wameshika hivo vitu ili awape hela wampe hizo zaga, ile anaangaika kutoa fedha gari inataka ondoka.Nikavichukua nikatoa fedha nikawapa, zile Zaga nikamkabidhi nikimwambia pesa aachane nayo.Wasukuma hooyeeeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Usiwe na mkono wa birika tuu.
Kwa kujiandaa kanunue chocoleti mkianza safari tuu mpe. Pia uwe na apple baadae baadae mpe apple. Break point mnunulie lunch hadi mfike Mwanza atakuwa keshawapigia ndugu zake wote kuwa kapata mume.
Kisha wewe fanya yako vile ulivyojipanga.
Hivi hamfungi kwaajiri ya korona,hamtaki kumtii baba yenu kwa siku 3 hizo