Bumbuli kwezituKwani unaenda lushoto ama gonja?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
umepotea jukwaa mzeeWashabiki wa simba na Tundu Lissu hao
umepotea jukwaa mzee
ningekuwa mm agent ningekukatia siti na mjamzito.. πAnyway lakini poa tu.
Nimetoka kukata ticket hapa Morogoro nina safari ya Mwanza kesho. Ghafla nikawaza toka mwaka uanze sijakaa siti moja na pisi kali. Kila nikisafiri nakaa na mabroo tu.
Ghafla nikapata akili,hivi siwezi kumpa tip agent aniweke siti moja na pisi kali? Nikajitoa ufahamu,nimempa agent buku 3 ili akipata pisi kali inakuja kukata tiketi aiambatanishe hapo kwenye siti yangu.
Agent nakutegemea sana broo. Kesho nitawapa feedback yatakayojiri
π€£π€£ Wabakaji watakupeleka mahakamani kuiita tamu zao mifugo tengua kauli mkuu.Sasa nimeelewa......
Ilikuwa nikisikia mtu amebaka mfugo nilikuwa nashundwa kuelewa..... anaanza anzaje....
π€£π€£ Wabakaji watakupeleka mahakamani kuiita tamu zao mifugo tengua kauli mkuu.
Nimekaa nae hapa mpaka sasa hatujasemeshana[emoji23][emoji23]Ashindwe mwenyewe [emoji12][emoji12]
unajua unaninyima raha nashindwa kutoa mrejesho. umenipiga pini kabisaNimekaa nae hapa mpaka sasa hatujasemeshana[emoji23][emoji23]
Bibi mapengo weyeMeeeeeehh.....
Ndo maana akakuita kiberengeee....ππππ
Namsikilizia mleta mada atoe mwongozoKwani unaenda lushoto ama gonja?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi limemuachaNasubiria mrejesho
Tupia picha tutajua tuu[emoji4][emoji4] mmh mbona nami Kama nipo kwenye hii safari...
Anyway type feedback
Ukiwa unarudi tuambizanePisikali yenyewe ni mimi. Tukutane kesho.
Wee[emoji1787]