Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Ben saa nane wewe si umejiunga act jana?
Mbona hujakanusha habari za ww kujiunga act?
 
mlimneza sana wana bavicha hawana maana ooh mara sijui msaliti mara sijui nini

AIBU YENU MUWE NA HIFADHI YA MANENO

Teh Teh Bavicha ni kama futuhi leo sijui wataficha wapi sura zao?
 
Mkuu mungu akutangulie kwenye safari yako ya kuwakomboa watanganyika na kuleta heshima ya ubinadamu kati yetu.
 
kama Selasini bado anafaa unaonaje ukachagua kazi nyingine kwani kwenda bungeni siyo lazima,viongozi wako wameona mchango wako najua Ukawa tutakuwa na Wabunge wengi hapo october fanya utaratibu mzuri kwani naona msuguano mkubwa utakaosababisha jimbi kuchukuliwa na CCM,ni maoni yangu tujaribu kuwa watulivu na subira,Zito angesubiri miaka mitano ijayo Mwenyekiti na Katibu wangemaliza muda wao wangesogea pale lakini kwa kukosa uvumilivu wanaenda kwa kutumia short kati na hakuna short kati katika mapambano
 
Hoja imeungwa mkono. Nakutakia mafanikio mema kijana shupavu kama ww. Usikate tamaa, ndani ya CDM kila kitu kinawezekana.

Ww , T. Lissu, Mnyika, Mkosamali, nk lazima CCM waombe poo hapo mjengoni.

Niliskitika sana kusikia nawe unahamia Chama Cha Mamluki!
 
Hongera ben,sina hakika kama ulikaa kimya ili act waendelee kukupaisha...lakin cku nyingine kanusha uvum haraka.weka jimbo wazi,mbona mm nimeweka wazi jimbo la nkasi kusin .
 
Back
Top Bottom