BungelaKatiba2014tz
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,231
- 649
Wamekuaje?masikini ACT na mwalimu wake Kaijage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekuaje?masikini ACT na mwalimu wake Kaijage
Teh Teh Bavicha ndio walimzushia...
jana walileta uzi hapa kuwa Ben kahamia ACT na kukbidhiwa kadi. aibu yao wenyeweWamekuaje?
Kumbe mlikuwa mnaweweseka? Katika mada ile mimi nilitoa Onyo kwa ACT, wasimkaribishe BEN atakuw anakwenda huko Ku-mine data.Kamanda Ben, kwanzakabisa nakupongeza kwa huu uwamuzi wa kutaka wa kuwapigania, kuwaongoza na kuwatumikiawananchi. Pili nakupongeza kwa kuwazimamidomo wale wote walioeneza uzushi tangu juzi kuhusu kuhamia kwako ActWasaliti. Tatu umeleta hamasa kwa vijana wenzako hasa ndani ya chadema, kuwawakati umefika kwa vijana kuwapumzisha wazee wanaosinzia mjengono na kusubiri kusema ndoyoo!
hii singo haiuzi . iliyouza ni ile ya kuhama. bora ungehama tu. every one predicted this. so it is not news at all. and on top.of that. hivi ni lazima kila mtu anayetaka kuonesha mchango wake kwa taifa awe mbunge?? we all know it ia not about that. its about. money . power and fame. unaweza jenga nchi hata ukiwa nje ya bunge.
Teh Teh unafikiri ataweza kigombea wapi zaidi ya hapo? Sio msaliti tena?
Kamanda Ben, kwanzakabisa nakupongeza kwa huu uwamuzi wa kutaka wa kuwapigania, kuwaongoza na kuwatumikiawananchi. Pili nakupongeza kwa kuwazimamidomo wale wote walioeneza uzushi tangu juzi kuhusu kuhamia kwako ActWasaliti. Tatu umeleta hamasa kwa vijana wenzako hasa ndani ya chadema, kuwawakati umefika kwa vijana kuwapumzisha wazee wanaosinzia mjengono na kusubiri kusema ndoyoo!
Usimwamini Ben hata kidogo, ni ndumila kuwili ile mbaya, CHADEMA wenyewe wanamjua.jana walileta uzi hapa kuwa Ben kahamia ACT na kukbidhiwa kadi. aibu yao wenyewe
kwahiyo unataka nikuamini wewe?Usimwamini Ben hata kidogo, ni ndumila kuwili ile mbaya, CHADEMA wenyewe wanamjua.
CCM mmekuwa kama watoto wadogo. mnaforce divide and rule, mnaleta sanaa kwenye jumba la sanaa.
ubunge unagombewa popote.
wewe ndio msaliti wa masikini wa tanzania kwa kutetea mafisadi CCM.