Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Tatizo wengi wetu humu siasa zinatutawala badala ya sisi kuzitawala siasa.
 
Beni kama rafiki nilihuzunishwa na uvumi kuwa umejiunga na hao jamaa!

Sikuwa naamini maana kwa weledi na upeo wako nisingetegemea maamuzi kama hayo ungewez kuyafanya! ila ukimya wako umesababisha ACT kuzua uongo waliouzua! next time be punctual comrade

Muombe msamaha kwa kumuita msaliti
 
Keep it up! Na hongera kwa uamuzi sahihi.

Ila nikurekebishe kidogo kuhusu fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo. Zile fedha za serikali kama fedha zingine za maendeleo na zinatumwa Katika Ngazi za Halmashauri kwa utaratibu ule ule wa fedha zingine za Halmashauri na matumizi yake yanasoimamiwa na Mkurugenzi na inakaguliwa kama fedha zingine za serikali.
 
Hongera kijana! Nimekapenda kaCV Chako kumbe kanatosha kukupitisha machoni mwa watz,
 
hii singo haiuzi . iliyouza ni ile ya kuhama. bora ungehama tu. every one predicted this. so it is not news at all. and on top.of that. hivi ni lazima kila mtu anayetaka kuonesha mchango wake kwa taifa awe mbunge?? we all know it ia not about that. its about. money . power and fame. unaweza jenga nchi hata ukiwa nje ya bunge.

Kwahiyo wewe tatizo lako nikwamba hajahama chama tu?
 
Beni kama rafiki nilihuzunishwa na uvumi kuwa umejiunga na hao jamaa!

Sikuwa naamini maana kwa weledi na upeo wako nisingetegemea maamuzi kama hayo ungewez kuyafanya! ila ukimya wako umesababisha ACT kuzua uongo waliouzua! next time be punctual comrade
Huyu ni Ndumila kuwili, si wa kuamini hata kidogo. Ila la msingi tu ni kwamba hata CHADEMA wamfanyeje Ben, hawezi kuthubutu kuhamia ACT na ACT hawawezi kuthubutu kumkaribisha. Nadhani unajua vizuri zile habari za utaka kulishana sumu na matamshi ya kuwa mtu fulani aliaga kwao na atakaemlisha sumu ukoo wao utakufa hadi Panya. Unajua ni akina nani walikuwa wanahusika? BEN atakwenda popote ila siyo ACT.
 
Ben saanane is a learned brother,democracy calls for fair competition
Fingers crossed though.
 
kama Selasini bado anafaa unaonaje ukachagua kazi nyingine kwani kwenda bungeni siyo lazima,viongozi wako wameona mchango wako najua Ukawa tutakuwa na Wabunge wengi hapo october fanya utaratibu mzuri kwani naona msuguano mkubwa utakaosababisha jimbi kuchukuliwa na CCM,ni maoni yangu tujaribu kuwa watulivu na subira,Zito angesubiri miaka mitano ijayo Mwenyekiti na Katibu wangemaliza muda wao wangesogea pale lakini kwa kukosa uvumilivu wanaenda kwa kutumia short kati na hakuna short kati katika mapambano

Selasin ni miongoni mwa mizigo iliyopo bungeni, mie sipo Chadema lakin go Ben Saanane, naamini Bunge na taifa litanufaika ukiwa bungeni.
 
Bunge litakuwa makini sana... Data za ukweli zitaanikwa hadharani ...
 
Teh teh teh huyu jamaaa katukanwa sana na Bavicha.

Ngoja takuwekea matusi yao.

Teh Teh mkuu Ritz yalete ili Ben ajionee jinsi leo wanavyo msifu halafu juzi walimtukana...
 
Last edited by a moderator:
Hongera Ben Saanane kwa uamuzi mzito, uwakilishi sio lelemama especial nia ikiwa sio zaidi ya ajira Kama ajira zingine...

Jambo moja ambalo ningependa kujua via PM; je zaidi ya siasa kipato chako cha kila siku ni chanzo chake ni kpi? Mfanya biashara, mkulima au muajiriwa popote zaidi ya kwenye chama?

Ni hayo Tu, mwisho nakutakia kila la kheri kwenye Safari yako. Mimi naamini Kabisa Bunge uwiaono wa wabunge Ukiwa mzuri nchi itaenda Mbele.
 
Back
Top Bottom