Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wamegundua ana nasaba za ACT.
Beni kama rafiki nilihuzunishwa na uvumi kuwa umejiunga na hao jamaa!
Sikuwa naamini maana kwa weledi na upeo wako nisingetegemea maamuzi kama hayo ungewez kuyafanya! ila ukimya wako umesababisha ACT kuzua uongo waliouzua! next time be punctual comrade
Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu
ndoto, mnaota kuwa wabunge. mjitayarisheSafari yako ni safari yangu, Safari yangu ni safari yako, Safari yetu ni safari ya Watanzania.
Twende Bungeni na Ben Saanane!
Haya ndio maneno tunataka wabunge watakaojenga hoja, tumechoshwa na watu kama Leticia Nyerere
hii singo haiuzi . iliyouza ni ile ya kuhama. bora ungehama tu. every one predicted this. so it is not news at all. and on top.of that. hivi ni lazima kila mtu anayetaka kuonesha mchango wake kwa taifa awe mbunge?? we all know it ia not about that. its about. money . power and fame. unaweza jenga nchi hata ukiwa nje ya bunge.
Huyu ni Ndumila kuwili, si wa kuamini hata kidogo. Ila la msingi tu ni kwamba hata CHADEMA wamfanyeje Ben, hawezi kuthubutu kuhamia ACT na ACT hawawezi kuthubutu kumkaribisha. Nadhani unajua vizuri zile habari za utaka kulishana sumu na matamshi ya kuwa mtu fulani aliaga kwao na atakaemlisha sumu ukoo wao utakufa hadi Panya. Unajua ni akina nani walikuwa wanahusika? BEN atakwenda popote ila siyo ACT.Beni kama rafiki nilihuzunishwa na uvumi kuwa umejiunga na hao jamaa!
Sikuwa naamini maana kwa weledi na upeo wako nisingetegemea maamuzi kama hayo ungewez kuyafanya! ila ukimya wako umesababisha ACT kuzua uongo waliouzua! next time be punctual comrade
kama Selasini bado anafaa unaonaje ukachagua kazi nyingine kwani kwenda bungeni siyo lazima,viongozi wako wameona mchango wako najua Ukawa tutakuwa na Wabunge wengi hapo october fanya utaratibu mzuri kwani naona msuguano mkubwa utakaosababisha jimbi kuchukuliwa na CCM,ni maoni yangu tujaribu kuwa watulivu na subira,Zito angesubiri miaka mitano ijayo Mwenyekiti na Katibu wangemaliza muda wao wangesogea pale lakini kwa kukosa uvumilivu wanaenda kwa kutumia short kati na hakuna short kati katika mapambano
Teh teh teh huyu jamaaa katukanwa sana na Bavicha.Teh Teh Bavicha ndio walimzushia...