Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Ben, nilishtuka juzi niliposikia maneno ya kipuuzi.
Leo nimefurahi sana yaani natamani ungekuwa karibu yangu
_Eti ben aende chama la wasaliti kwa kweli ningeshangaa sana Ben Mungu muweza utashinda baba mimi zangu sala tu!!!
Ile kauli ya facebook sijui ilikuwa ya kupima upepo,hapa hatuna mtu hii ni mind game,hizi tabia za kupima akili za watu zilianza kwa Zitto,hata siku moja huyu jamaa sintamwaminiAaarrgh!
Mkuu kwahiyo ile sumu sasa ni direct kwa spika siyo zitto tena lakini mlangoni pale bungeni kunamashine sijui kama utaingia nayo ndani.Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu
haha,,bavicha ben kawa comred mara hii!?
Jana tu alikuwa msaliti..
Mkuu kwahiyo ile sumu sasa ni direct kwa spika siyo zitto tena lakini mlangoni pale bungeni kunamashine sijui kama utaingia nayo ndani.
hii singo haiuzi . iliyouza ni ile ya kuhama. bora ungehama tu. every one predicted this. so it is not news at all. and on top.of that. hivi ni lazima kila mtu anayetaka kuonesha mchango wake kwa taifa awe mbunge?? we all know it ia not about
that. its about. money . power and fame. unaweza jenga nchi hata ukiwa nje ya bunge.
Ile kauli ya facebook sijui ilikuwa ya kupima upepo,hapa hatuna mtu hii ni mind game,hizi tabia za kupima akili za watu zilianza kwa Zitto,hata siku moja huyu jamaa sintamwamini