Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Ni kweli TAWA....
WALIMTABIRIA ETI ATAJIUNGA ACT IMEKUWA TOFAUTI WHAT DO YOU EXPECT THIS DUDE TO SAY...


Hamy dada ulichokitegemea sicho, ulitegemea huyu kamanda atangaze kuwa kahamia Against Chadema Tanzania basi hapo roho yako ingekuwa kwatu! Hata angeandika page tatu.
 

Ben saanane nakupa baraka zote,,go for your dream make it happen
 

Twende bungeni na Ben Saanane
 
Last edited by a moderator:
Unajielewa Ben..... Nakuombea Mungu ufanikiwe katika safar yako hii uliyoianza....Tanzania needs people like you....
 
Maelezo mengi lakini hakuna la maana hata moja hapo. Imekushinda BAVICHA, jimbo utaliwezea wapi wewe?
Wee endelea na ujinga wako,mwenzio anakuzidi kwa kila tasnia tangia elimu,uelewa,maono,badala ya kukaa chini na kutafakari tatizo la umasikini na ujinga ulokujaa uko bze hitting the rock with bare hands hoping it will feel the pain and not you!
Kanyaga kamanda Ben songa mbele kwenye safari ya ukombozi.
 
sijasoma yote uliyoandika ila nimechukua point,ambayo inahusu story za wewe kwenda ACT.Sasa ninaamini za uongo.
 
Mimi nakutakia kila lililo la heri ktk safari yako uliyoianza...!
 
Nilikufahamu zaidi kwa kazi ile ya kuwaibua team wa.sa.li.ti na sasa usaliti wao umekuwa dhahiri,, pia unaweza wasilisha vyema kimaandishi mawazo yako..bila shaka na kwa kuongea utakuwa vizuri. Kila la heri kingozi Ben
 
Unastahili kaka kama unania ya dhati utatimiza malengo yako simamia msimamo wako watu wasikuvunje moyo coz kumbuka si kila mtu atakupenda. Songa mbele na usirudi nyuma.
 
Tunza dhamira yako na subiri mchakato wa chama chako then mchakato wa UKAWA na uwe tayari kukubali matokeo ya uteuzi ndani na nje ya chama chako.
 
kwanza unajaza server kwa kunukuu mhabari wote. Pili ulitaka achimbe barabara na wananchi?

Tatizo lako kubwa ni akili ndogo. Akili kubwa siku zote inahoji haikumbwi tu na mihemko ya ushabiki b-w-e-g-e wewe:biggrin1:
 
Naona Bavicha sasa ni ya kuigopa kama ukoma. Imejaa vijana wenye viburi na kujiona bora na hawataki mtu yeyote aulize swali as if kila aliyepo Chadema ni malaika asiye na udhaifu. Kila kijana wa Bavicha anaona yeye ndo ana akili kuliko vijana wote ambao hawapo Bavicha Hii ni trend ambayo inaonyesha kwamba chama kimejaa watu wenye akili ndogo wanaojifanya wanataka kumkomboa mtanzania. Huwezi tu ukaanza kunidharau kisa nimemuuliza maswali Ben. Huo ni upumbavu uliopitiliza. Ni akili ndogo pekee ndo huwa zinashindwa kuengage in intellectuall debate. Ni vijana wachache sana wanajitambua Bavicha ila hawa weliobakia ni wa kuwahofia sana iwapo Chadema itashika madaraka.
 
Unataka iwekwe wazi ili chama chako kipate gear? Hilo sahau.
Kamwambie Katibu mkuu kiongozi awapewanahabari nakala ya hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Bahati nzuri sina chama mkuu acha kunipakazia, mimi ni mzalendo kwa nchi yangu acha kukwepa mada. aidha chama tawala hakina historia ya kunakili sera toka upinzani ndio maana upinzani unasubiri ccm itangaze ilani ndipo nanyi mtohoe, ndio maana upinzani hautapitisha mgombea hadi ccm ifanye hivyo
 

Kwahiyo lile shina la ccm ulilozindua pale mtaani kwako unalikana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…