Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....


Ukisoma tamko lake hadi Mwisho utaona alimtanguliza Mungu katika safari hii
 
Last edited by a moderator:
Bungeni kuna nini? Tafuta chuo ufundishe
 


Pasco,

Asante sana na nakubaliana na mengi kati ya uliyoeleza hapa.

1: Halima Mdee bado ni mbunge mchapakazi.Hakuna asiyejua hili

2:Kiongozi ni lazima ajipime yeye kwanza na kuona kama anauweza uongozi badala ya kusubiri au kuandaa watu wa kumshawishi/kumlazimisha wakati yeye anajiona hana uwezo au hataki

3:Bado Sijataja Jimbo kaka

4: Ikitokea tofauti kwa kuwa mimi ni muumini wa demokrasia ya kweli katika uwakilishi wa watu nitachukua hatua za kidemokrasia
 
Last edited by a moderator:
Endeleeni kutiana ujinga


Ben saa9 nimesoma bandiko lako na ninegundua na wewe ni mroho wa madaraka kama wengine katika vyote ulivyoandika sijaona wazo jipya ambalo sijawahi kulisikia tangu nifikishe umri wa kupiga kura 1990 yote uliyoandika hapo umecopy na kupest tu.....!harakati zako zote za kuchafua huku na kusafisha huku ulikua unasaka tonge kumbe!!!!
Asante kwa kuniweka wazi mroho anajua waroho wenzie lazima afanye fitina wapungue ili apate nafasi.......!
 
Uwe unahoji maswali ya msingi sasa. Unakuta mtu anakula unamuuliza, unakula? Utapigwa na matonge wewe. Jenga swali uheshimiwe kwa swali.
 
Mwenyezi Mungu na akutangulia asafishe njia yako.
Muda ukifika ni inbox details zako nikupe baraka ziongeze na za wengine/zako ukachukue form.
all the best
 
Yericko Nyerere, Asante sana komredi wangu

Comrade Ben

Kamanda wa makamanda

Shushushu wa mashushushu

Jembe wa majembe

Genious wa ma genious

Mtaalam wa wataalam

Msomi wa wasomi

Mwerevu wa werevu

Msikivu wa wasikivu

Mtii wa watii

Kijana mchapakazi na dira ya taifa hili

Salute to You Kamanda.....Big respect
 
Upande huu kuna Ben Saanane
Fraterin Masika
Joseph Selasini

Upande ule kuna
Evodi Mmanda
Notbruga Masikini
Utouh...

Rombo patakuwa patamu sana mwaka huu... I wish nipte fursa ya kwenda kushuhudia mtanange..

All in all nawatakia makamanda wote wa CDM kila la heri. Ni matumaini yangu waomba nafasi na chama kitaheshimu chaguo la wananchi. Nitasikitika sana nikisikia kuna yeyote kati ya wanaoomba nafasi atakayekimbilia chama kingine kwa sababu tu hakupata nafasi kupitia CHADEMA. Ni matumaini yangu pia kuwa chama kitapitisha jina la mgombea aliyepita kwa kura nyingi za maoni...

Kinachonipa moyo ni kuwa hadi sasa wote mlioonyesha nia kugombea kupitia CDM mpo vizuri kiuchapa kazi...

Kwa kuwa jimbo litakuwa na mbunge mmoja, nashauri wale ambao hatutapata nafasi za kuwa mbunge tutumie uwezo na mbinu zetu kusaidia katika maendeleo ya lile jimbo...

PAMOJA TUNAWEZA...
 
Last edited by a moderator:

Nakupongeza kwa uamuzi huo, Naomba utujuze uzoefu wako nje ya masomo. Umefanya kazi wapi na wapi? unafanya kazi gani halali wakati huu ya kukuingizia kipato?
 
 
Ben ukipitishwa tu...mchango wangu mdogo sana Laki tano uweke hela ya mafuta ya gari....Nitatoa muda wangu pia
 
Kwa kweli nimelisoma hilo andiko, nikaridhika nalo, na limejitosheleza. Kwa hakika umeonyesha kiwango ulichonacho cha uelewa. Mpangilio wa maneno na uwezo wa kujenga hoja sina mashaka nayo. Kwa kweli umetulia. Yatosha kusema, tukisubiri chama kipitishe maamuzi yake kwa kufuata kanuni na taratibu za kisheria. Big up Ben.
 
Here comes The real rebel Ben, hili ndo bunge tunataka sio vibaraka wakutuletea unending dramas like Swiss money
 

Ben huyu Pasco ni duplicity ni busara kum-ignore
 
Last edited by a moderator:
Ben ni kiboko aisee....!

Kuna watu walikua wakituma sms kwa viongozi wa wilaya huku Rombo tangu juzi wakiongozwa na Mbunge kuwa unahamia ACT waliposikia tu utatangaza maamuzi ndani ya masaa 72 .hapa umewachapa kisawasawa watu wamepoteana kabisa .naona Rombo ikimpata mbunge makini kabisa na kurudisha heshima.viongozi wa wilaya tuko na wewe kamanda
 
Selasin Nae mpaka abanwe ndipo afunguke,itamcost sana.
 
Last edited by a moderator:
Hujataja Jimbo mkuu au macho yangu?

But all the best.. we must remain focused kama lengo ni kuwangoa hawa wezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…