Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
mlimneza sana wana bavicha hawana maana ooh mara sijui msaliti mara sijui nini
AIBU YENU MUWE NA HIFADHI YA MANENO
hivi sinilisikia umehamia ACT- WASALITI?
Aaarrrrrggg!
hivi sinilisikia umehamia ACT- WASALITI?
Maelezo mengi lakini hakuna la maana hata moja hapo. Imekushinda BAVICHA, jimbo utaliwezea wapi wewe?
Anafaa kwa sababu tu ya maandiko yake haya marefu? Tehe tehe.Wazo zuri hili kutoka kwa kijana msomi....kwa haya maandishi hakika wewe ni chemchem ya kisima isiyokauka.
Twendeni bungeni na Ben Saanane
Teh Teh Bavicha ni kama futuhi leo sijui wataficha wapi sura zao?