Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

Go Ben go Ben nakuamini na nakuombea kwa Mungu ili chama kikupitishe naelewa sana harakati zako kaka Mimi nakuandalia barabara ya kuelekea Bungeni kwa maombi.
 
Chadema wanjitapa kuwa wameanza na Mungu, Mungu gani wanayeshindwa kumtambua ktk mabandiko yao na kazi zao kwa ujumla.

Usilete siasa katika wazo langu.Wazo langu ni la kibinadamu zaidi na wala halihitaji siasa hata kidogo.
 
kila la heri bwana Mkubwa maelezo yako yanaonesha kweli unania mimi nakuunga mkono kama kijana mwenzangu.
 
Acha uvivu! Anapitia njia ya Rombo kuelekea Bungeni Dodoma.
Hata mimi sikuona Jimbo. Kwa hiyo Joseph Selasini hatoshi? Rafiki yangu Selasini naona umeingiliwa jimboni. Nasikia Selasini alipambana sana kwenye serikali za mitaa na kusababisha CDM kupata ushindi mnono.
 
Yericko Nyerere, this is high time, kwa wewe pia kutangaza nia! Tumekusoma sana, uaminifu wako katika chama chako, tunakukubali, tunakuhitaji wewe pia uende bungeni ili uweze kutumika kwa upana zaidi!

Unatuahidi nini Yericko?

Wapenda mabadiliko chanya wengine, je mnaniunga mkono kwa hoja hii kwa Yericko?

Naam! Binafsi nawapenda sana makamanda wawili humu ndani, Ben saanane na Yericko Nyerere. Naunga mkono hoja.
 
Last edited by a moderator:
kila la heri bwana Mkubwa maelezo yako yanaonesha kweli unania mimi nakuunga mkono kama kijana mwenzangu.
Afadhali Ben katoa maelezo kuonyesha kweli anautaka ubunge, siyo yule wa Singida aliyeleta story za ajali wakati anatangaza nia.
 
Sasa wale wanojifanya marafiki wa Ben na wakamtukana sana humu JF mpoooo?
 
Back
Top Bottom