Na ni nani alikuambia mwenye hela anafanya huu ujinga
  • Mwenye hela anajali afya yake , Anaoa . Ili kuepuka magonjwa
  • kutembea na hawa viumbe isipokuwa mkeo Ni kubeba nuksi tu kwenye mambo yako
Naunga mkono hoja
 
Kwahiyo kwa nesi ulipiga
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220713-092457_Twitter.jpg
    35.2 KB · Views: 18
Sema hilo litakua ndio kazi zake kugawa uloda
sawa na ajila mpya hapa anagawa uroda anasema nilikusaidia tu upate utelezi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Dah mr.bei elekezi anapenda sana kusukumia masista mti nyama teh teh teh
 

Wanaume tusiache kula pisi ni nyingi tusitegeane
 
Katika shughuli za kiutumishi kuna milima na mabonde, sasa katika kutumika kwa njia ya kucheza organ kanisani kuna mengi sana nimekumbana nayo mabaya kwa mazuri, tuhuma nzito, kusingiziwa, pongezi na raha.
chai haina viungo
 
Ni mwiko kabisa kuanzisha mahusiano ya kimapenzi sehemu ambayo unafanya kazi masaa zaidi ya 6.
Kama ni kweli umefanya hivi BELIEVE ME, itakugharimu na kuna siku utajuta kwanini ulifanya hivi.
Acha ramli chonganishi Kiongoz. Wewe ni Nani uijue Kesha ya mtu? Maisha siyo serious kiasi hicho. Relax!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…