Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
Eeeh makubwa
 
Kwahiyo lengo lako ni lipi,ni kushea TU taarifa,ni kuilinganisha jukwa hili pendwa na majukwa mengine,au🤔.Au ni kumdunisha aliyekupa nafasi ya kudhihirisha ni Kwa kiasi Gani unaaminika na unajitambua na unautu kipimo gani
 
Sema umedakwa kirahisi na malaya anayetumia mitandao ya kijamii kuuza papuch yake. Kwani jf ni kijiji au nyumba fulani, ndio hao hao wanaokesha mitaani ndio wanatumia mbinu mbalimbali za kuwapata
 
Baada ya huu uzi mtoa maada atajuta (kinyume na ID yake inayosema hajuti)
 
Huki ndio nini sasa, unafikir Kuna Mwanamke anapenda kutangazwa hivi? Haujatumia hekima,kumbuka wengine wanatafuta wachumba humu watajikuta wanakataliwa Kwa sababu Yako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…