yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Na ndo tunahangaika na semina sasahivi ya sensa ili tukipita kwenye makazi yao watupe details zao, kazi ipo kwakweliHawa ndo vijana tunaosubiri watupatie mawazo yao kwenye katiba mpya ya jamhuri
Ni single mother...?!Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Sana!Tukusaidie nini mkuu. Ndomaana mademu wa humu wanapotongozwa na watu wa humu huwa hawakubali wanaogopa mambo kama haya ya kutangaza. Aya tuwekee picha yake tumuone
Maskini,walewalee....eti kheri mi sijasema😆🙌M. Pia nimemchakata demu wa jf tena yey ndio kajiunga jf kbla yangu na nilimchakta na Wala sikutangaza na mpk sas namla na nin muudhuriaji San wa humu
Jamaa kupewa mbususu mara moja tu tena kwa kondom ndo unapagawa mpaka kuja kuanzisha uzi je siku ukipewa nyuma itakuwaje?!Tukusaidie nini mkuu. Ndomaana mademu wa humu wanapotongozwa na watu wa humu huwa hawakubali wanaogopa mambo kama haya ya kutangaza. Aya tuwekee picha yake tumuone
Hatuwezi katisha starehe zetu kisa mtu mmoja atakuja kutangaza huku.Watu mliokuwa mnarusha doano huko pm samaki wamekimbia woteee[emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji125]
Katuharibia, kuna crush wangu humu sijui nikimuendea pm atajibu kweli...haha
Duuh! Una umri gani limbukeni wewe?Kwakifupi tulikutana Facebook, alikuwa na bidii ya kupost stories, nikamtongoza akaingia kwenye 18. Siku yakwanza kutoka naye niligundua anakuwa busy sana na simu, badae nilitoka kidogo wakati narudi nikakuta yupo kwenye app ya JF anatype kitu.
Sikushtuka wala kuuliza chochote, appointment yapili ilikuwa jana ambapo nilifanikiwa kugegeda papuchi yake. Aisee kama yuko jukwaa hili naomba hata anitumie ka emoji ka kopa Whatsapp kuonesha kuwa ameona uzi.
Hakika tumebaki wachache!That's why tunasema Wanamume tumebaki wachache sana
Ati alimuachia 8700.Atakuwa yule wa kipindi kile aliyevaaga Tshirt ya Bendera ya Taifa na akaachiwaga na Jamaa 6700.
Mimi sijui mzee!😀Mkuu hv unawezaje jua kama demu wa jf ni mkali???au ndo mnabet wazee ???manak sielewe
Hawa ndiyo wanasababisha wanaume tutukanwe humu.Hivi nyie machalii mnaotangazaga kuwa mmegonga dem flan huwa mnakuwa na akili gani? Kwangu naona ni kama utoto hivi, ukila kaa kimya