Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
Daaah we ngabu vipi wewe!! I almost bought ur story! Aaargh..
 
Ooh come on lady...loosen up....hivi kweli kwa akili yako unadhani ingekuwa ni kweli imetokea hivyo ningekuja hapa kuandika? Hebu itumie vizuri hiyo cerebral cortex ya ubongo wako bana aaaah

Hii ni ndoto tu....kwa hiyo kuota nimeota kweli ila tendo lenyewe halikutokea katika real time....

Unamkumbuka vyema uliyezini naye kwani yaweza kuwa umeukwaa!!! Nenda fasta kapime ujue afya yako
 
Hahahahahahahahahaha
nimemjua uliye muota
daaaaaah
 
kamanda wewe ni mkali,,, kwa kweli kwa jinsi ulivyoandika basi kila mtu alijua kweli ila umetisha mkuu.. ur gud aisee
 
Hongera sana angalia usije kuota unachochea kuni za halua tua.
 
Lol. Mentor The kind of girl u'd walk out on a date just after she goes to the ladiez room! Infact unaacha na note "DONT CALL ME, AM GONNA CALL U!"
 
Last edited by a moderator:
Lol. Mentor The kind of girl u'd walk out on a date just after she goes to the ladiez room! Infact unaacha na note "DONT CALL ME, AM GONNA CALL U!"

Am not sure nimekusoma! hiki kizungu..na uchokozi nilianza mm.
please lower your acoustic impudence so we can coomunicate perpendicularly.
 
Yaani kabla sijamalizia kuisoma nilikua nishachuja majina kadhaa ya mabinti wa jf amboo ndo posible...mara ndoto,dah
 
Yaani kabla sijamalizia kuisoma nilikua nishachuja majina kadhaa ya mabinti wa jf amboo ndo posible...mara ndoto,dah

Hebu nidokezee hayo majina....ni nani na nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom