Nimefanya naye mapenzi mara moja. Je, nitakuwa nimepata VVU?!

Nimefanya naye mapenzi mara moja. Je, nitakuwa nimepata VVU?!

Savior ruther

Member
Joined
Oct 15, 2017
Posts
14
Reaction score
12
Kuna kipindi fulani hivi kama mwezi wa 8 nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja hivi, kumbe bila ya mimi kujua yule binti ana HIV+ na siku tunafanya mapenzi alikuwa anasitasita nadhani nafsi yake ilimsuta kwa sababu sikuwa na condom, nilipoingiza tu mara moja hakutaka niendelee tena

Sasa juzi kati ndo napata habari kuwa yupo kwenye dozi.. Sasa wakubwa na wenye uzoefu katika maswala ya afya je huenda na mimi nitakuwa nmeshakuwa affected au lah..??

Natanguliza shukran na Mungu ambariki kila mmoja atakaye toa ushauri wake kwa moyo mmoja..
 
Mkuu wapo watu wanawake kabisa ila wanafanya chaputa, ubaya wake ukifanya sana kama unavyofanya unapata madhara baadae mkuu.
Na ukifanya sana ngono kama alivyofanya nayo unapata madhara papo hapo..kama hivyo mchizi kaungua tayari..ndio basi tena
 
Kuna kipindi fulani hivi kama mwezi wa 8 nilikuwa ktk mahusiano na binti mmoja hivi kumbe bila ya mimi kujua yule binti ana HIV+ na siku tunafanya mapenzi alikuwa anasitasita nadhani nafsi yake ilimsuka cz sikuwa na condom nilipoingiza tu mara moja hakutaka niendelee tena

Sasa juzi kati ndo napata habari kuwa yupo kwenye dozi.. Sasa wakubwa na wenye uzoefu katika maswala ya afya je huenda na mimi ntakuwa nmeshakuwa affected au lah..??

Natanguliza shukran na Mungu ambaliki kila mmoja atakaye toa ushauri wake kwa moyo mmoja..
kapime mkuu lasivyo mawazo yatakutesa
 
Back
Top Bottom