Nimefanya naye mapenzi mara moja. Je, nitakuwa nimepata VVU?!

Nimefanya naye mapenzi mara moja. Je, nitakuwa nimepata VVU?!

Na ukifanya sana ngono kama alivyofanya nayo unapata madhara papo hapo..kama hivyo mchizi kaungua tayari..ndio basi tena
We mjamaa ww unanichekesha sna aisee

Any way kuna rafk yangu alilala na dem ambaye ni muathirika miez mitatu na hakupata hiv so usimtishe muhimu akapime bas
 
Apewe sifa aliegundua chaputa,..maana imenitoa mbal na imenifikisha mbali,leo hii nna afya tele,elim nzur na maendeleo.na napiga show kwa umakin mkubwa na mashine ikiwa yenye afya na ukubwa uliotukuka.kujifanya mpangazuna sasa umeukwaa.chaputa in the air
 
Kama Umekatwa Govi utakua na 49% kuwa umepata HIv.

Kama Unagovi utakua na 78% ya kuwa na HIV
 
Ungeendelea kupiga kitu mzee kufa kupo tu usiwe muoga
 
Pole mkuu ,,SKU nyingne usrudie kosa ,, kama ulvyoambiwa SBR 3 miez ipite kacheki
 
Kuna kipindi fulani hivi kama mwezi wa 8 nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja hivi, kumbe bila ya mimi kujua yule binti ana HIV+ na siku tunafanya mapenzi alikuwa anasitasita nadhani nafsi yake ilimsuta kwa sababu sikuwa na condom, nilipoingiza tu mara moja hakutaka niendelee tena

Sasa juzi kati ndo napata habari kuwa yupo kwenye dozi.. Sasa wakubwa na wenye uzoefu katika maswala ya afya je huenda na mimi nitakuwa nmeshakuwa affected au lah..??

Natanguliza shukran na Mungu ambariki kila mmoja atakaye toa ushauri wake kwa moyo mmoja..
Ndio
 
Apo ndio utajua umuhimu wa chaputa.. Umeukwaa c mnajifanyaga vibolodinda
Mkuu sio fresh kumsema hivi mtu ambae tayari alishakosea na yupo ktk msongo wa mawazo anaweza kujidhuru bure. Mshauri nini afanye kupunguza madhara au kujiokoa kwani anaweza kuwa bado haja ambukizwa.
 
Mkuu sio fresh kumsema hivi mtu ambae tayari alishakosea na yupo ktk msongo wa mawazo anaweza kujidhuru bure. Mshauri nini afanye kupunguza madhara au kujiokoa kwani anaweza kuwa bado haja ambukizwa.
Yah sure sure ni kweli...namshauri akapime awe na uhakika zaidi
 
Back
Top Bottom