nimefatilia maandamano ya kenya nataka niwaambie ni swala la muda tu hiki kinachotokea Kenya kitaambukizwa Tanzania, Uganda, na nchi nyingine jirani

nimefatilia maandamano ya kenya nataka niwaambie ni swala la muda tu hiki kinachotokea Kenya kitaambukizwa Tanzania, Uganda, na nchi nyingine jirani

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
ukingalia kwa makini haya maandamano sio kama hao watoto wanareject hiyo financial bill au politics issue la hasha unaona ni maandamano ya mapinduzi ya kimfumo hawa vijana wanataka serikali ya kenya iendeshwe kileo na hili ni kutoka na viongozi wengi wa africa kutowatilia maanani vijana wadogo waliozaliwa 2000s ni tofauti sana na sisi tuliozaliwa 1990 hawa wamekuwa wameona teyari kuna maendeleo, kuna internet kuna Netflix, wana jua kinachoendelea usa on the spot... hawa ni vijana wasio na subra wanataka vitu vitokee au viongozi waact on the spot hawana chama, hawana issue za ukabila hawa hawana viongozi hawa wanakusanyana kupitia social media huko then wanaingia barabarani.

ni vigumu sana viongozi wetu hawa kudeal na design za kizazi kama hiki..!
hapa tanzania bahati yetu wananchi tuna badilika taratibu sababu ya mifumo yetu ila ni jambo la wazi kabisa watu wa kuwaifluence hawa vijana hawatakuwa wanasiasa watakuwa wasanii, na watu maarufu.
 
ukingalia kwa makini haya maandamano sio kama hao watoto wanareject hiyo financial bill au politics issue la hasha unaona ni maandamano ya mapinduzi ya kimfumo hawa vijana wanataka serikali ya kenya iendeshwe kileo na hili ni kutoka na viongozi wengi wa africa kutowatilia maanani vijana wadogo waliozaliwa 2000s ni tofauti sana na sisi tuliozaliwa 1990 hawa wamekuwa wameona teyari kuna maendeleo, kuna internet kuna Netflix, wana jua kinachoendelea usa on the spot... hawa ni vijana wasio na subra wanataka vitu vitokee au viongozi waact on the spot hawana chama, hawana issue za ukabila hawa hawana viongozi hawa wanakusanyana kupitia social media huko then wanaingia barabarani.

ni vigumu sana viongozi wetu hawa kudeal na design za kizazi kama hiki..!
hapa tanzania bahati yetu wananchi tuna badilika taratibu sababu ya mifumo yetu ila ni jambo la wazi kabisa watu wa kuwaifluence hawa vijana hawatakuwa wanasiasa watakuwa wasanii, na watu maarufu.
Muulize BOB WINE Nini kimemfanya apunguze harakati zake nchini Uganda..

Ukipata kiongozi wenye mkono wa chuma Kama kagame, museveni e.t.c huwapeleka wapinzani wao kule ambapo watu wakiendaga hawarud Tena..

R.I.P BEN SAA8
 
Muulize BOB WINE Nini kimemfanya apunguze harakati zake nchini Uganda..

Ukipata kiongozi wenye mkono wa chuma Kama kagame, museveni e.t.c huwapeleka wapinzani wao kule ambapo watu wakiendaga hawarud Tena..

R.I.P BEN SAA8
Pia uongozi wa chuma una madhara yake km hapo Rwanda siku kagame kaaga dunia mm na uhakika patachimbika tuombe uhai.
 
Bado sana, kwa matatizo tuliyonayo wameshindwa hiyo jeuri wanaitoa wapi?
 
Mimi sipo kwenye hayo maandamano

Kazi yangu hapa Tanzania ni kula maisha na vyakula vipo toto nzuri zipo pombe ipo ardhi ipo why niteseke
 
Kwa 🇹🇿 Sahau, wengine watapewa mnofu waache kuongea, wengine wataoushwa nguo washindwe kuhema, deal done
 
Unajiumiza roho kusubiri vitu vya kingese Tanzania.
Mwendokasi ina matatizo 4 years nobody did a heck.
hahaaaa hilo la mwendokasi subiri kidogo yaani wanajazwa kama mizigo na bado wanapanda tu , ukiuliza utasikia ooh serikali ituangalie, sasa kama hali ni mbaya kwanini msiache?
 
Muulize BOB WINE Nini kimemfanya apunguze harakati zake nchini Uganda..

Ukipata kiongozi wenye mkono wa chuma Kama kagame, museveni e.t.c huwapeleka wapinzani wao kule ambapo watu wakiendaga hawarud Tena..

R.I.P BEN SAA8
Umeelewa hata kinachozungumziwa maanadamo yao hayahusiani na mambo ya chama au ukabila
 
Kwa wabunge walivyo puuza ushahidi wa Mpina na kumuadhibu. It is just a matter of time.
Yaani Bashe is clean and Mpina is wrong!!!!
 
ukingalia kwa makini haya maandamano sio kama hao watoto wanareject hiyo financial bill au politics issue la hasha unaona ni maandamano ya mapinduzi ya kimfumo hawa vijana wanataka serikali ya kenya iendeshwe kileo na hili ni kutoka na viongozi wengi wa africa kutowatilia maanani vijana wadogo waliozaliwa 2000s ni tofauti sana na sisi tuliozaliwa 1990 hawa wamekuwa wameona teyari kuna maendeleo, kuna internet kuna Netflix, wana jua kinachoendelea usa on the spot... hawa ni vijana wasio na subra wanataka vitu vitokee au viongozi waact on the spot hawana chama, hawana issue za ukabila hawa hawana viongozi hawa wanakusanyana kupitia social media huko then wanaingia barabarani.

ni vigumu sana viongozi wetu hawa kudeal na design za kizazi kama hiki..!
hapa tanzania bahati yetu wananchi tuna badilika taratibu sababu ya mifumo yetu ila ni jambo la wazi kabisa watu wa kuwaifluence hawa vijana hawatakuwa wanasiasa watakuwa wasanii, na watu maarufu.
Sema Keybord Worrior, Hahaaa unachekesha sana
 
Back
Top Bottom