Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Sawa.Sawa nipe hivyo vigezo nipo hapa nakusikiliza mkuu
Vipi kama nimeamua kwenda na namba kamili tu na kuondoa decimal place katika approximations zangu?
Yani nasoma namba kamili tu huko kwenye decimal sipachukui, hapo vipi?