Siyo Tabora tu haya mambo yapo karibia miji yote hapa TZPale wenyeji walipo jiona wanaweza na wakapandisha bei ya nyumba katikati ya mji kila walipotaka kuvuliwa.
Wageni walipo ona ujunga wakaanza kujenga nje ya mji kama Ipuli, Uledi, Maili 5, Cheyo, K/Koo, Kipalapala, Itaga na kadhalika.... huko wageni wamepajenga na wakafungua biashara nyingi na wanapiga noti tu.
Nilikuwa na uhakika 100% kwenye huu uzi utakuja mkuu!Urambo na Sikonge hazijaendelea kabisa mkuu, tangu miaka ya 80's to date bado naiona haibadiliki kabisa
Ubora gani Tabora?: ushamba! Mauaji! au uvivu! kamji kadogo ukienda kidogo tu nyumba za tope[emoji1]Mkuu si bora Tabora, hivi ulisha wahi kufika mkoa wa Lindi? π₯²[emoji23]
Dsm tusiifananishe na popote kwa chochote kile kuanzia dhambi hadi usafiHuko nako si mkoani kwenye maisha mazuri kuliko Dar?
Huyu jamaa haijui Tabora.
Why??Nilikuwa na uhakika 100% kwenye huu uzi utakuja mkuu!
Kwa akili zako za kijinga unazania mji ni Magorofa?Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Nami nilifika hapo. Pako local kweli. Kuna lounge moja nimeisahau jina. Ndio pekee angalau pa kishua ambapo wajanja wa Mtwara wanaenda. Paa la makuti. Sijajua kama wameshabadiliHaswa maana wakati wa kurudi nilisoma jengo moja la bodi ya korosho kusini.
Waambie wakupeke ipuli ukachome nyamwa za mbuziNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Acha na Majengo bado haujaona wanawake wanye migongo ya hatari hasa hapo karibu UhaziliNini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
apite mtaa wa Pemba mbele ya soko dogo linapojengwa au mafia,udowe na kariakoo baada ya Jengo la ofisi ndogo za CCM ajioneeKariakoo kuna nyumba za udongo, zipo centre kabisa, mabati yameoza
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.
Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
mzee nili taka niku ite, Cha kushangaza Usha ropoka Siri za watu,ππOndoka kabla haujakutana na Kalunde akakutia kwenye chupa..π
Hiyo ndio daladala mpaka leo zipoMi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo
Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari