Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

Usifananishe na moro na vitu vya hovyo....Moro kuanzia hali ya hewa na ardhi yenye rutuba.mm ni msukuma lakini sehem nazo zipenda ni Mwanza,moro na dar mbeya nayo naikubali ila si kivile
Wapi hakuna Ardhi yenye rutuba? Hali ya hewa ipi hiyo? Mbona Tabora Ina watu wengi kushinda Morogoro Kwa nini wasikimbilie huko Morogoro kwenye Hali ya hewa nzuri?

Hakuna Mkoa ambao hauna fursa Tanzania hii,Mikoa mingine ilicheleweshwa Kwa sababu za miundombinu ya uchumi
 
Uchangamkaji wa Vijiji vya Morogoro usifananishe na wa vijiji vya Tabora.
Unaizungumzia hiyo reli ambayo ina ufanisi mdogo sana sawa na bure na inapita pembezoni mwa wilaya ya Kisaki??
Si bora hata reli ya kati inapita katikati ya vijiji vya Kilosa??
Huwezi kuwa serious.
Tabora inaendelea kukua Kwa Kasi kiuchumi acha stori za kuambiwa.Tabora ya saizi Iko 🔥🔥 sana
 
Kilosa ina reli ya TRC na hata reli ya umeme imepita Kilosa.
Mvomero kuna shughuli nyingi za kilimo labda hukufika unapasikia.
Gairo kuna uchimbaji mkubwa wa madini na uvunaji mkubwa wa mbao.
Ukitoa Moro Mjini na Kidogo Wilaya ya Ifakara kwingine kote Bora na Uyui 😂😂
 
Mi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo

Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
Ila shinyanga napakubali aisee kwa utulivu na mpangiko wake
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Kwa taarifa yako ukikaa hapo miezi mitatu hata kama umetokea Masaki hutatamani kurudi,kitu ambacho hujajua ni kwamba kila mahala hapa chini ya jua kuna uzuri wake unao vutia kuishi au kuendelea kuwepo,mji ni pamoja na mazingira na watu wake ktk hulka zao ,kaa hapo miezi mitatu Tabora uone kama utatamani kutoka, hutataka kujenga lakini utataka kuendelea kuishi hapo
 
Mi nlifika shinyanga nikawauliza sehem flan nafikaje wakaniambia kapande daladala zile pale , nikiangalia huko wanaponionyesha daladala sion hata moja hatukuelewana karibu dakika 3 nawauliza tu mbona sion wao wananiambia si hizo hapo

Kumbe daladala kwao ni baiskeli mi nilikua naangalia nikiamini ntaona gari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee umenivunja mbavu
 
Sasa miji yote mnataka iwe kama DSM au Mwanza, kuna miji mingine ni ya kwenda kupumzika tu....mfano mimi kwangu Dar but kwetu BK na SHY nikienda huwa napumzika nafsi kabisa na hizi hekaheka za DSM
 
Tabora inaendelea kukua Kwa Kasi kiuchumi acha stori za kuambiwa.Tabora ya saizi Iko 🔥🔥 sana
Tabora najua inapiga hatua bro sijakataa.
Ila kwa mimi mazingira yake hayako rafiki sana kwangu.
Ila Tabora inanifurahisha urahisi wa vyakula aisee pia kodi zao sio kubwa na nyumba nzuri.
Imagine mtaa wa freemason pale nyuma ya chuo cha Musoma Utalii nyumba ya chumba na sebule 60k.
Na nzuri ina geti.
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Nimechekaa sana Tabora si uongo imepoa sanaa
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Kariakoo kuna nyumba za udongo, zipo centre kabisa, mabati yameoza
 
Mkuu huko tabora wenyeji wengi ni mamwinyi Sana na wanaendekeza Sana Imani za kishirikina ndio maana hakuna maendeleo
Acheni uongo ninyi watu.
Hizi gari huwa unatununulia wewe, mijengo iliyopo Cheo, Ipuli, free mason, Nk
Ulitujengea wewe?
 
Back
Top Bottom