Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Kuwa naye hamna shida ila huyo kisambengo ni nayejamani muacheni msukuma wa watu nipo nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa naye hamna shida ila huyo kisambengo ni nayejamani muacheni msukuma wa watu nipo nae
Karibu unitembelee, lunch/dinner juu yangu.occupied
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eehh
hao ndo tunawataka wewe mzuri mfate james deliciousWeka picha isije kuwa una sura ka unapuliza moto nakubebea wapi miye
mwanzo ulikuwa unaishi wapi????Ni kampuni imelipa gharama kwa ajili ya kazi niliyotumwa huku Dar, hivyo nimepapenda na ndio nataka nikamilishe na swala la kuoa huku huku. Asante.
Hapana ndugu, kwa mke hapo unakuwa hujapata, labda mambo mengine ndo tutashare.Hamna mbaya huyo ni ndugu yangu wa damu akipata yeye na mimi nimepata. Sukuma forever
acheni bana beyonce life is too short to be hungry!Kuwa naye hamna shida ila huyo kisambengo ni naye
Bado anapokea maombi!!jamani muacheni msukuma wa watu nipo nae
Bwiru.mwanzo ulikuwa unaishi wapi????
Hapo ume-overgeneralize kabisa.Hili kabila halijui vocabulary ya love hata neon mapenzi hawajui. Ndiyo maana wengi wapo jeshini, ni mwendo wa amri tu.
ni dada huyu?
Wewe ni msomi wa kitu gani? Wasio wasomi wenzako wanawakula warembo wa kila aina sasa wewe huo usomi unakusaidiani?
Kweli wewe changu soko limekuwa gumu had wajichekesha JF, eti ukisikia mtu akazi basi wachanganyikiwa jiheshimu wewe jua thamani yako, maana hilo povu sijui kodi ya nyumba imeisha nini u natafta sponsor kwa nguvu, eti bi.... [emoji28] [emoji28] [emoji28]MNhhh umeishiwa sasa???ulianza na matusi reja reja kama mama mwenye nyumba aliyecheleweshewa kodi,ukitaka tukeshe poa tu mkuu,I have free time for bi.tches like you!
sijui muulizeBado anapokea maombi!!
Miss natafta siku hizi huwa nsingia JF kwa Ku bipu tu ngoja nijibizane na huyu kizabizabinaacheni bana beyonce life is too short to be hungry!
Ugupandeka guke hasa uyo aligukoya geke e pm yako wefungaga obuza sana nchoragegutola gete nkoi. nale serious gete
no pls ! angekuwa mwanaume sawa ila kufight na mwanamke mwenzako sio fair bna pls my dearMiss natafta siku hizi huwa nsingia JF kwa Ku bipu tu ngoja nijibizane na huyu kizabizabina
athubutusijui muulize
mbona unamuongelesha baby wangu msomi kilugha wewe acha kabisa au unamtongozea dada yako?Ugupandeka guke hasa uyo aligukoya geke e pm yako wefungaga obuza sana nchorage
thank uu...!![emoji3] [emoji6] [emoji120] [emoji120]Karibu unitembelee, lunch/dinner juu yangu.
o ng'wene ale chiza, tole yomba mu PM doho...lindelagaUgupandeka guke hasa uyo aligukoya geke e pm yako wefungaga obuza sana nchorage
Kweli wewe changu soko limekuwa gumu had wajichekesha JF, eti ukisikia mtu akazi basi wachanganyikiwa jiheshimu wewe jua thamani yako, maana hilo povu sijui kodi ya nyumba imeisha nini u natafta sponsor kwa nguvu, eti bi.... [emoji28] [emoji28] [emoji28]