Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

ila kitu kinaniumiza roho wakati umeleta post kwenye profile yako ulikuwa na pm 58 sasa hivi naona 76 ! naona sina bahati maana pm kwangu hazitoki wala kuingia!
 
Wewe naye mshakunaku tu na mpambe nuksi umejuaje watu hawazitaki mbichi, kisa Ku comment usipende kujirahisisha hivo na kujichekesha eti anayekupinga ana interest ua such a cheap ho.e

Muda wa kushushuana na vigodoro siku hizi sina,mpaka kubwabwaja matusi itakuwa post yangu imekugusa moja kwa moja pole we!
 
Mkuu hujajua jinsi ya kuwasoma wanawake,wengi ni sizitaki mbichi hizi,unayemuona anakupinga sana ujue ndio huyo ana interest na wewe,otherwise angepita bila ku comment,hujui tu mkaka anayeonekana amesoma,ana kazi yake,na yuko tayari kwa ndoa sio kuchezeana,tayari profile lako liko juuuuuuuuu kwa sie wanawake hhahahahahahhahah wewe anza ku PM wadada wote waliocomment kwenye hii topic yako hahahahahahahhhhhhhhhhaahahhahahahahhahhah
ukiwemo na wewe akuPM mana umecomment[emoji38]
 
Muda wa kushushuana na vigodoro siku hizi sina,mpaka kubwabwaja matusi itakuwa post yangu imekugusa moja kwa moja pole we!
Siwezi kuguswa na point isiyo na logic zaidi ya kujichetua na kujitekenya mwenyewe shame. Cheap a.s.s h.oe
 
ila kitu kinaniumiza roho wakati umeleta post kwenye profile yako ulikuwa na pm 58 sasa hivi naona 76 ! naona sina bahati maana pm kwangu hazitoki wala kuingia!
Je kama zingine ni za network ya wasukuma wenzangu tuliopo Dar??
 
Back
Top Bottom