Msukuma Msomi
Senior Member
- Feb 6, 2017
- 173
- 149
- Thread starter
- #21
...utadhani nilikutag🙂Huo uchiz aisee umekosa wanawake huko uliko mpaka kwenye mitandao shenz type unajidharrsha tyu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...utadhani nilikutag🙂Huo uchiz aisee umekosa wanawake huko uliko mpaka kwenye mitandao shenz type unajidharrsha tyu..
Asante kwa majibu yako.Usisajili sasa hivi, nipe muda nikanunue Caro light kwanza na mimi niingie kwenye kinyang'anyiro.
Hajatongoza, ametangaza kandarasi.All the best ila hzo bwembwe ndo kutongoza gani huko sasa
Wewe ni msomi wa kitu gani? Wasio wasomi wenzako wanawakula warembo wa kila aina sasa wewe huo usomi unakusaidiani?Sio mbwembwe mkuu, unajua sisi wasomi tuko straight, kwahyo tuvumiliane.
ipo wazi njoo mkuu...umefunga PM yako.
piga sound hutakosa mkeKumbeeee....., huwa najipa mawazo kwamba zali la mentali lilimtokeaga prof Jay tu kwenye ngoma yake kumbe hata huku ukipanga maneno vizuri inawezekana.
Hahaaaaa mweeeh basi usomi wako haujakusaidia sasa hayo mashauzi gani yako hivo loh hata saikolojia ya kutongozea inakupiga chenga jamani, ujue wewe si msomi wa kwanza wako wengi tu.Sio mbwembwe mkuu, unajua sisi wasomi tuko straight, kwahyo tuvumiliane.
Hili kabila halijui vocabulary ya love hata neon mapenzi hawajui. Ndiyo maana wengi wapo jeshini, ni mwendo wa amri tu.Hahaaaaa mweeeh basi usomi wako haujakusaidia sasa hayo mashauzi gani yako hivo loh hata saikolojia ya kutongozea inakupiga chenga jamani, ujue wewe si msomi wa kwanza wako wengi tu.
Kabisa kanishangaza sana nikijaribu kusoma Uzi wake kwa jicho la Tatu inatoa picha ni mtu wa aina gani.Hajatongoza, ametangaza kandarasi.
Acha nile mlenda + bamia za kutosha mdomo ulainikepiga sound hutakosa mke
Ujue mi nakukubali sana, kama hii fursa itakupita basi utakuwa unanisubiri mimi. Tambua kwamba mi bado nipo nipo kwanza, labda unishawishi saaaana.msukuma unatutega hivihivi sio? njoo ukae kwangu hadi upate nyumba tuanzie hapo kwanza ndoa itajiseti tu yenyewe
Unanisaidia kuendesha maisha ya kila siku, kusaidia ndugu zangu na kuchangia pato la taifa kupitia kodi mbalimbali.Wewe ni msomi wa kitu gani? Wasio wasomi wenzako wanawakula warembo wa kila aina sasa wewe huo usomi unakusaidiani?
VIpi mkuu mbona wacheka?, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...hujui kutaniwaHahaaaaa mweeeh basi usomi wako haujakusaidia sasa hayo mashauzi gani yako hivo loh hata saikolojia ya kutongozea inakupiga chenga jamani, ujue wewe si msomi wa kwanza wako wengi tu.
Ni kweli aisee maana hayo maelezo tu badala a hit point ya akitakacho ingekuwa mtihani angefeli huyu.Hili kabila halijui vocabulary ya love hata neon mapenzi hawajui. Ndiyo maana wengi wapo jeshini, ni mwendo wa amri tu.
ipo wazi njoo mkuu
Dah.... Ili siku akikorofisha umtupie begi lake nje[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]msukuma unatutega hivihivi sio? njoo ukae kwangu hadi upate nyumba tuanzie hapo kwanza ndoa itajiseti tu yenyewe
I know...hujui kutaniwa
Mkuu acha kufyatua mitego ya watu waache waende pm bana wakishindwa siwatasema wenyewe!!.Huyo anataka mwanamke wakuwa naye hapo hotelini na ndoa itaishia hapo