Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

Mkuu acheni ku-divert mada yangu aisee...mambo ya ukabila na uanajeshi kuna majukwaa yake rasmi. Tuheshimiane bure. Mimi mbona nawaheshimu??
Mkuu hayo mengineyo ni zaidi hit point utakacho au uende corner bar, au Africa sana utapata tu kiulaini.
 
Hotelini unafanya nini kwa muda wote huo kama si biasharamu za daslam
 
Hotelini unafanya nini kwa muda wote huo kama si biasharamu za daslam
Ni kampuni imelipa gharama kwa ajili ya kazi niliyotumwa huku Dar, hivyo nimepapenda na ndio nataka nikamilishe na swala la kuoa huku huku. Asante.
 
Mkuu acheni ku-divert mada yangu aisee...mambo ya ukabila na uanajeshi kuna majukwaa yake rasmi. Tuheshimiane bure. Mimi mbona nawaheshimu??


Mkuu hujajua jinsi ya kuwasoma wanawake,wengi ni sizitaki mbichi hizi,unayemuona anakupinga sana ujue ndio huyo ana interest na wewe,otherwise angepita bila ku comment,hujui tu mkaka anayeonekana amesoma,ana kazi yake,na yuko tayari kwa ndoa sio kuchezeana,tayari profile lako liko juuuuuuuuu kwa sie wanawake hhahahahahahhahah wewe anza ku PM wadada wote waliocomment kwenye hii topic yako hahahahahahahhhhhhhhhhaahahhahahahahhahhah
 
Ujue mi nakukubali sana, kama hii fursa itakupita basi utakuwa unanisubiri mimi. Tambua kwamba mi bado nipo nipo kwanza, labda unishawishi saaaana.
mmmh leo naona wachumba wa kumwaga hapa nakuja pm na wewe
 
Mkuu hujajua jinsi ya kuwasoma wanawake,wengi ni sizitaki mbichi hizi,unayemuona anakupinga sana ujue ndio huyo ana interest na wewe,otherwise angepita bila ku comment,hujui tu mkaka anayeonekana amesoma,ana kazi yake,na yuko tayari kwa ndoa sio kuchezeana,tayari profile lako liko juuuuuuuuu kwa sie wanawake hhahahahahahhahah wewe anza ku PM wadada wote waliocomment kwenye hii topic yako hahahahahahahhhhhhhhhhaahahhahahahahhahhah
Oh....okay. Nilikuwa sijui!! nitafanyia kazi uzi wako mkuu.
 
Mkuu hujajua jinsi ya kuwasoma wanawake,wengi ni sizitaki mbichi hizi,unayemuona anakupinga sana ujue ndio huyo ana interest na wewe,otherwise angepita bila ku comment,hujui tu mkaka anayeonekana amesoma,ana kazi yake,na yuko tayari kwa ndoa sio kuchezeana,tayari profile lako liko juuuuuuuuu kwa sie wanawake hhahahahahahhahah wewe anza ku PM wadada wote waliocomment kwenye hii topic yako hahahahahahahhhhhhhhhhaahahhahahahahhahhah
Wewe naye mshakunaku tu na mpambe nuksi umejuaje watu hawazitaki mbichi, kisa Ku comment usipende kujirahisisha hivo na kujichekesha eti anayekupinga ana interest ua such a cheap ho.e
 
Back
Top Bottom