Squat si kwa wadadaPush up round 10@ reps20
Squat round 10@ reps 20
Squat left leg round 10@ reps20
Squat right leg round 10@ reps20
Trycep round 10@ reps20
Kukata tumbo 10@ reps20
= reps 1200
1 hour
Ukiwa na mwili wenye kuonekana una afya ila hauna mazoezi ya cardio ni kazi bure. Magonjwa nyemelezi yako pale pale. Usemacho wewe ni kujenga tu mwili hapo ila ukimalizia na zoezi la kukimbia au cardio yoyote unakuwa umemaliza kazi kabisa. Kama jamaa hafanyi vardio nina uhakika hana stamina yaani pumzi fupi.Watu wanafel sana,kuamin mazoez mpaka ukimbie weeee, unyanyue vitu vizito as if unajiandaa na mashindano ya Olympic ..
Mazoezi ni Afya, fanya mazoez kuweka sawa misuli ,akili, mifupa na mwili ktk mazingira sahihi.
Binafsi Mazoez madogo ndo nafanya, and mwili uko vzuri kabisaaa !!
Huu ni uongo, usitafte sifa huna uwezo huo hata mwarabu fighter anachemka hizo reps!Push up round 10@ reps20
Squat round 10@ reps 20
Squat left leg round 10@ reps20
Squat right leg round 10@ reps20
Trycep round 10@ reps20
Kukata tumbo 10@ reps20
= reps 1200
1 hour
Wote sio wanawake tuSquat si kwa wadada
kwa hiyo uko strongi kabisa mkuu?Mwili uko strong [emoji16]
Hii Mimi naenda mara 40 mpaka 50 narudia mipigo miineIpi mkuu, push up napiga round 10,, ktk kila round kule kubonyea chini juu chini juu naenda mara 20 ktk round 1, kwa hiyo naenda mara 200 Ndani ya round 10
Aisee mbona chache sanaHii Mimi naenda mara 40 mpaka 50 narudia mipigo miine
Nafanya mazoez 5 tofauti ndio mana na natumia dk 30mpaka40Aisee mbona chache sana
Hamna noma mkuu endelea kujiweka fiti kimazoeziNafanya mazoez 5 tofauti ndio mana na natumia dk 30mpaka40
Kuweka mwili strong tu,Unataka kupungua or just fun?
Kg zangu ziko balance,Huwa napendelea haya zaidi.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] kwa nn?Squat si kwa wadada
Poa poa kamandaHamna noma mkuu endelea kujiweka fiti kimazoezi
Fafanua hapo mwisho jamaa hana pumziUkiwa na mwili wenye kuonekana una afya ila hauna mazoezi ya cardio ni kazi bure. Magonjwa nyemelezi yako pale pale. Usemacho wewe ni kujenga tu mwili hapo ila ukimalizia na zoezi la kukimbia au cardio yoyote unakuwa umemaliza kazi kabisa. Kama jamaa hafanyi vardio nina uhakika hana stamina yaani pumzi fupi.
[emoji106]Poa poa kamanda
Mkuu hapa sitafuti sifa,,Huu ni uongo, usitafte sifa huna uwezo huo hata mwarabu fighter anachemka hizo reps!
KabisaWote sio wanawake tu
Yaaakwa hiyo uko strongi kabisa mkuu?
Kuna jamaa anadhani haya mambo ni uhongo,, embu mwambieHii Mimi naenda mara 40 mpaka 50 narudia mipigo miine
SafiiNafanya mazoez 5 tofauti ndio mana na natumia dk 30mpaka40