Nimefikisha mwaka 1 kwa kufanya mazOezi bila kunyanyua vitu vizitO,

Yaaan hamna haja ya chuma mkuu,,

Kukomaa tu kule,,

Huyu mwana yuko vizuri sanaaa,,,
 
Sawa mkuu asante kwa ushauri
 
Hehehehee zisije zika hamia chini blaza
Teh teh teh acha woga,, ukipga matizi na yakaingia mwilin hata ham ya mapenzi hupungua, ila ndo zikifumuka basi lazima shemela apige yowe

Kumwaga tunachelewa sana wana mazoezi,, sababu akili imekaa inawaza zoez mda mrefu.

[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…