Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kweny msosi weka na matunda utakuta kiasi cha msosi unachokula kinapungua.Dah..nikifanya zoez najikuta nakula plate 2..bas najikuta naacha
Maamuzi ni yako aidha uamue kuwa swala au uwe kobe.Swala anakimbia kila sku anafanya zoezi lkni aishi miaka mingi kama Kobe ambae ni mvivu anatembea polepole
Moral of the story : mazoezi sio ya lazima na hayana umuhimu ila haukatazwi kufanya
Vipi kwenye game faida zake zipojee mkuu?Faida ni nyingi sanaaa,
Nasisitiza fanyeni mazOezi,
Shida itakuwa unavaa nguo zinakubana sana madam.Jamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ahahaaaaaaa....!βwakishakabika vyemaβNi kweli tunajua moja ya faida ya Mazoezi ni hasa Kukomaa kwa Kujengeka vyema Kimwili ili Usiku au Alfajiri uwavizie Watu Vichochoroni ili uwakabe na wakishakabika vyema basi ama wakupe unavyovihitaji au uvichomoe mwenyewe tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!ahahaaaaa...! βwakishakabika vyemaβ. Nikuambie. Wengi wa wale wakabaji ni wavivu ndio maana wanakaba. Nikizungumzia wavivu,maana yake hata mazoezi hawafanyi. Mazoezi yanahitaji moyo,mtu anaejituma,mtu mwenye maamuzi. Hao wakabaji wengi ni laini sana ukimvimbishia,wengi wanategemea tu-visu. Wanye kuamua kwa usahihi kufanya mazoezi wengi wao nimeona wanajiweza hata kwa kuanzia kiwango cha kati kiuchumi. Kwa hiyo hawana shida ya kukukabaNi kweli tunajua moja ya faida ya Mazoezi ni hasa Kukomaa kwa Kujengeka vyema Kimwili ili Usiku au Alfajiri uwavizie Watu Vichochoroni ili uwakabe na wakishakabika vyema basi ama wakupe unavyovihitaji au uvichomoe mwenyewe tu.
Hahahaha ww jamaa bnVipi kwenye game faida zake zipojee mkuu?
Mana siwezi potezi mda kwa kitu kisichonipa heshima kitandanii
Sasa utapotezaje muda mkuu...?Hahahaha ww jamaa bn
Mimi kila siku nakimbia 4KM nikirudi napiga sprint round 5 kila round inachukua urefu wa 50m.kweli mkuu vyuma ni kujionesha na taatizo la vyuma ni kwamba ukiacha kuiniua tuu ndaini ya mwezi unaporomoka ila mazoezi ya kawaida unabaki katika hali ya kawaida
na hilo ndo zoeziMimi kila siku nakimbia 4KM nikirudi napiga sprint round 5 kila round inachukua urefu wa 50m.
Then baada ya hapo naruka kamba miruko 100 ile ya fasta fasta huku jasho likizidi kuchemka.
Kisha baada ya hapo naenda push up 50 tu.
Nikimaliza napiga kichura chura mibonyeo 50.
Kisha baada ya hapo nakata tumbo naenda round 50.
Kisha baada ya hapo nanyoosha viungo nakuwa nimetimiza DK 45 za mazoezi.
Sitaki mambo ya gym na mengine naona kujiumiza tu.
Nina uzito wa kilo kama 70 hivi nina imani uzito wangu unanitosha kufanya ndio gym yangu kwa push up.
Hata nikiamka saa mbili sinaga excuse katika mazoezi naenda hivyo hivyo.
Lengo nikipige kama mwezi hivi mfululizo then napumzika siku moja ama mbili.
Spidi yangu kwa KM 4 Ni 2m/s.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu mazoezi bhana katika hizo hesabu zangu nina kauli mbiu yangu moja tuuuuu inayosema
" I DONT START COUNTING UNTIL IT HURTS"
Usitake kuniambia kuwa unatumiaga maji tu?
Hongera. Unafanya mazoezi gani?Hapa penyewe niko nakula Zoezi
Nondo ipi hiyo mkuu, ya kutoboa ukuta au kuweka linta kwa nyumba?? [emoji849][emoji849]Siwezi kukazana tu kukimbia bila nondo. Naruka kamba mchanganyiko na kichura dakika 20. Napiga nondo,nikiwa mbali na home push up 200. Tumbo 100. Saa nzima imekatika,nimemaliza. Nondo lazima
Kwenye game ndo utafurai na roho yako,, tena ukutane na binti ambaye hana mazoezi lazima aombe pooo,,Vipi kwenye game faida zake zipojee mkuu?
Mana siwezi potezi mda kwa kitu kisichonipa heshima kitandanii
Kwenye game ndo utafurai na roho yako,, tena ukutane na binti ambaye hana mazoezi lazima aombe pooo,,
Mazoez yakinoga hata wiki inaisha sijala mzigo, siku nikila noma sana
πππJamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawashaπ
πππ
Hivii mumie huwa una nini na majibu yako jamani!!?
Short and funny, I just love 'em..!!Hahahaha kwannn sweet ..