Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Short and funny, I just love 'em..!!
Unawashwa parts zipi hasa, tuone namna ya kusaidiana.Jamani mie na mazoez mbali mbali..kwnza nikikimbia mwili unawasha[emoji57]
Unawashwa parts zipi hasa, tuone namna ya kusaidiana.
Jaman tena kuwashwa?Buttocks &thighs
Ohhhh safiWengine maisha yetu Tu ni mazoezi
Duhhhhkweli, baadhi ya watu miili huwa inawasha kama hawakuwa na mazoea ya kufanya mazoezi, ikiwemo me
Jaman tena kuwashwa?
Nlianza ivo mwaka jana mdogo mdogo,, shem wako anasema punguza mazoezi utaniua,,, namwambia nakuua kimapenz,,Hapo sawa.
Nimeanza mazoezi nna siku kama 14 hivi tokea nianze sijapumzika..
Nataka nifikishe mwezi non stop nione mabadiliko yangu kwenye kakitanda[emoji23][emoji23]
Nataka niondoe haka kakitambi kakufutia simu[emoji39][emoji39]
Hahahah hahahha anazungumzia zile vyuma vya kubebaNondo ipi hiyo mkuu, ya kutoboa ukuta au kuweka linta kwa nyumba?? [emoji849][emoji849]
Mzee baba safi,,Mimi kila siku nakimbia 4KM nikirudi napiga sprint round 5 kila round inachukua urefu wa 50m.
Then baada ya hapo naruka kamba miruko 100 ile ya fasta fasta huku jasho likizidi kuchemka.
Kisha baada ya hapo naenda push up 50 tu.
Nikimaliza napiga kichura chura mibonyeo 50.
Kisha baada ya hapo nakata tumbo naenda round 50.
Kisha baada ya hapo nanyoosha viungo nakuwa nimetimiza DK 45 za mazoezi.
Sitaki mambo ya gym na mengine naona kujiumiza tu.
Nina uzito wa kilo kama 70 hivi nina imani uzito wangu unanitosha kufanya ndio gym yangu kwa push up.
Hata nikiamka saa mbili sinaga excuse katika mazoezi naenda hivyo hivyo.
Lengo nikipige kama mwezi hivi mfululizo then napumzika siku moja ama mbili.
Spidi yangu kwa KM 4 Ni 2m/s.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu mazoezi bhana katika hizo hesabu zangu nina kauli mbiu yangu moja tuuuuu inayosema
" I DONT START COUNTING UNTIL IT HURTS"
Kuna juzi kati nkatiza kitaa et ananivizia anikwapua phone ila nilimstukia nikasimama,, akapita alafu mm nikawa nyuma yake alivosimama na mimi nikasimama,, ooh nikaona anazuga kunipa hi, nikamjibu poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!ahahaaaaa...! βwakishakabika vyemaβ. Nikuambie. Wengi wa wale wakabaji ni wavivu ndio maana wanakaba. Nikizungumzia wavivu,maana yake hata mazoezi hawafanyi. Mazoezi yanahitaji moyo,mtu anaejituma,mtu mwenye maamuzi. Hao wakabaji wengi ni laini sana ukimvimbishia,wengi wanategemea tu-visu. Wanye kuamua kwa usahihi kufanya mazoezi wengi wao nimeona wanajiweza hata kwa kuanzia kiwango cha kati kiuchumi. Kwa hiyo hawana shida ya kukukaba
Inabidi kabla hujaanza kuruka kunywa maji hata robo glass, alafu jinyoshe nyoshe kwanza,, alafu ndo uanza slow slow baadae unachanganyakabisa...hata kuruka kamba nawashwagaaa
Inabidi kabla hujaanza kuruka kunywa maji hata robo glass, alafu jinyoshe nyoshe kwanza,, alafu ndo uanza slow slow baadae unachanganya
Ni kweli mazoezi ni kitu chenye manufaa mengi na kizuri sana kwa afya ya binadam na hayahitaji kitu kizito, mwili wenyewe ni uzito tosha.Faida ni nyingi sanaaa,
Nasisitiza fanyeni mazOezi,
Kabisa,, faida ni nyanga sana,,Ni kweli mazoezi ni kitu chenye manufaa mengi na kizuri sana kwa afya ya binadam na hayahitaji kitu kizito, mwili wenyewe ni uzito tosha.
Ndo ufanye sasa,,shukrani sana
Ndo ufanye sasa,,
Itakusaidia sanaa,, magonjwa yatakupitia mbali kama ya kuumwa na kichwa+ mafua+ kujiskia hovyo,, tena kama mwenzio sio mtu wa mazoezi utampeleka mno [emoji1]
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]..mie daily natembea sana..hahahanna route nying nyingi..!kwingine unacheza na beat tu
Mzee baba safi,,
Pia tafuta karanga hizi zinasaidia kulainisha katika maungio (glisi)
Unatafuna walau ujazo wa mkono mmoja,, then shushia na maji ya vugu vugu au hata baridi,,
Yaaan we kwako mafua hutayasikia pia utaona mwili uko 4G
Na hyo madam ndo formula ninayoitumia napiga push up naamini uzito wangu mwenyewe unatosha kuni challenge wala sihitaji kitu kingine.Ni kweli mazoezi ni kitu chenye manufaa mengi na kizuri sana kwa afya ya binadam na hayahitaji kitu kizito, mwili wenyewe ni uzito tosha.