1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
- Thread starter
-
- #141
Mbona unaoneka bongeNina kilo 43, mmmh wembamba tu ni mazoezi tosha
Safi sanaaa, nazoez ni afya snowhiteMi nafanya mazoezi naacha nafanya naacha!
Niliwahi toka kilo 137 mpk 92.
kwa tizi na diets.
nikazinguaaa kama mwaka hivi nilipata complications za kiafya!
Nimeanza tena July 01, japo nimekaa muda mrefu almost a year bila kufanya any diets wala mazoezi.
Namshukuru Mungu sijarudi kwenye makilo hayo tena.
am 107 Now, nimeweka target ya 80 by DEC.
najua ninaweza kufika!
Nina curves ila zimekaa kijinga jinga nataka nizinyooshe!
sina tumbo hicvyo ila halijakaa vizuri nataka nilimalize!
kisha nimentain.
STRATEGY ZANGU NI
5 LITRES ZA MAJI KILA SIKU. (nayaweka herbs kama alovera, tangawizi, au nayamix na ukwaju, au siku limao au machungwa ndo inakuwa maji yangu kila siku )
NAFANYA CARDIO DANCES 15 MINS(ASBH NA JIONI)
NAFANYA CARDIO WORKOUTS 30 MINS(ASBH NA JIONI)
NAFANYA HEALTHY EATING WIKI MBILI
NAFANYA CRUSH DIET WIKI MOJA.
NAFANYA LIQUID DIET WIKI MOJA.
NALALA MAPEMA
NAAMKA MAPEMA
Mi nafanya mazoezi naacha nafanya naacha!
Niliwahi toka kilo 137 mpk 92.
kwa tizi na diets.
nikazinguaaa kama mwaka hivi nilipata complications za kiafya!
Nimeanza tena July 01, japo nimekaa muda mrefu almost a year bila kufanya any diets wala mazoezi.
Namshukuru Mungu sijarudi kwenye makilo hayo tena.
am 107 Now, nimeweka target ya 80 by DEC.
najua ninaweza kufika!
Nina curves ila zimekaa kijinga jinga nataka nizinyooshe!
sina tumbo hicvyo ila halijakaa vizuri nataka nilimalize!
kisha nimentain.
STRATEGY ZANGU NI
5 LITRES ZA MAJI KILA SIKU. (nayaweka herbs kama alovera, tangawizi, au nayamix na ukwaju, au siku limao au machungwa ndo inakuwa maji yangu kila siku )
NAFANYA CARDIO DANCES 15 MINS(ASBH NA JIONI)
NAFANYA CARDIO WORKOUTS 30 MINS(ASBH NA JIONI)
NAFANYA HEALTHY EATING WIKI MBILI
NAFANYA CRUSH DIET WIKI MOJA.
NAFANYA LIQUID DIET WIKI MOJA.
NALALA MAPEMA
NAAMKA MAPEMA
Hapana angalia vizuriMbona unaoneka bonge
SIO NZURI YES!Kilo 107 Aisee
Sogea karibu sasa.[emoji4][emoji4][emoji4]thema nipatw thikia
[emoji1]
Baada ya kuona hilo sikio point zote zimeyeyuka. Nipo kwa fundi hapa, tunajaribu kuingiza points mpya kwenye memory hapa.
Baada ya kuona hilo sikio point zote zimeyeyuka. Nipo kwa fundi hapa, tunajaribu kuingiza points mpya kwenye memory hapa.
Baada ya kuona hilo sikio point zote zimeyeyuka. Nipo kwa fundi hapa, tunajaribu kuingiza points mpya kwenye memory hapa.
Baada ya kuona hilo sikio point zote zimeyeyuka. Nipo kwa fundi hapa, tunajaribu kuingiza points mpya kwenye memory hapa.
Jiangalie Mkuu na kuwa makini
[emoji1]
Mkuu tuma kwanza hiyo kituuu mbona kimyaa....?Kichura chura hiyo mie siipigi, ila kuna moja naipiga iko poa sanaa,, yaan inakaza miguu mapaja pamoja na magoti,, iko poa sanaa,,
Ntakutumia ka video uone alafu kesho utesti utaona habari yake
Sawa mkuu. Niko makini kama mlinzi wa dr JohnJiangalie Mkuu na kuwa makini
Inabidi ufanye maarifa nione ili dose ya kuchanganyikiwa ikolee zaidi.Hahahhaa bado sasa hujaona macellulite mwili wooote dadeq..kama.zebra vile🤔
Shem huyo ??heee...!ths is just chitchat...hakuna ubaya hapa
😅😅Nyumba ndogo yangu huyoShem huyo ??