Nachelea kukupa pole Ndg, kwani yeye ULIYEMPENDA amechukulilwa na yule ALIYEMLETA, nayo basi imekuwa HERI kwa sababu kwake yeye atapata PUMZIKO la moyo, naye atapata kusema naye kwa karibu ili kutupatia sisi wapendwa wake AMANI ya duniani. REST IN PEACE OUR BELOVED FATHER!