wanafanya hivyo kwa kuwa hakuna ki batton mbadala na 'like' inakwenda moja kwa moja kwenye inbox ya mhusika na kumpa attention kuwa flan kanisoma.Ujue mwanzisha thread sio lazima asome post zote lakini 'like' zote ataziona.Mimi huwa nashangaa watu kulike hata tangazo la msiba. Maana yake nini? Pole mkuu. Mungu akupe nguvu kipindi hichi kigumu