[FONT=century
gothic]Assalamu
Alaikum[/FONT]
Admins, Moderators na
members wote wa Jamiiforums
Kwa masikitiko makubwa
nawataarifu msiba wa Mama yangu Mzazi, amefariki usiku wa kuamkia leo,
na Insha'Allah maziko yatafanyika leo jioni.
___
Ewe Mwenyezi Mungu
msamehe Mama yangu na ipandishe daraja yake katika walioongoka, na weka
badili yake kwa aliyowacha nyuma na utusamehe sisi na yeye ewe Mola wa
viumbe vyote na umkunjulie yeye katika kaburi lake na umtilie mwangaza
ndani yake[FONT=century
gothic]
[/FONT]
Sisi ni wa Allaah
nasi Kwake tutarejea, Ee Allaah Utulipe wafiwa kwa msiba huu na utupe
badili yake bora kuliko huo na utukutanishe tena peponi
Insha'Allah