Mkuu Pole Sana! Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu. Faraja ya kweli yatoka kwa Mungu hivyo mtegemee yeye. Naujua Uchungu wa kuondokewa na MAMA! Pole sana
Innalillah waina illah rajiuna, pole sana ndugu yangu pia Mola akupe nguvu katika iki kipindi iki kigumu. iyo ni mipango yake manani, let our almighty God lay her soul in peace, aamen