spika,pole sana kwa masahibu yaliyokukuta.
Hakika una wakati mgumu katika kipindi hiki cha msiba wa mwanao mpendwa.tumuombe mungu akupe moyo na ujasiri wa kukabiliana na hali hii.lakini pia tumuombee marehemu aweze kupokelewa vema mbinguni kwa pumziko lake la milele,
amen!