ndg.spika unapitia kipindi kigumu ktk maisha,mtoto ni zawadi ila muumba kaichukua.ninakupa pole ya dhati ndugu yangu nakuombea mwenyezi mungu akupe moyo wa uvumilivu na utulivu ktk kipindi hiki kgumu kwako.nimeipokea kwa masikitiko makubwa taarifa hii kama mzazi ninaejua uzuri wa watoto ktk kaya.mungu akutie nguvu!!