Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila ukimuangalia Falz na Roma Mkatoliki utagundua Roma kamuacha Falz mbali sana tena sana kwenye suala la ndevu.
Ohoooo!!!kwahiyo wanafollows wanafiki?Watu wanapambana Nigeria . Bongo wasanii wafollowers wengi ila wakianzisha hata biashara ya chips humuoni hata follower mmoja akija kukuunga biashara yako.
Huyu jamaa amefuatilia kupitia Insta, inawezekana hao aliowataja wanayo mafanikio kweli, lakini hata bongo hapa tunao wenye mafanikio pia huko Insta!Umefuatiliaje? Instagram au? Twambie walianza lini hiyo sanaa na wana nini na nini kwa kiasi gani na kwa muda gani ili tuona ufuatiliaji wako uko na mashiko ndani yake na sio kuwalenga wasanii wetu kwa njia mbadala.
Fafanua kidogo'Sponser'
Watanzania mnashindwa kusoma? Embu rejea mada uisome tena upunguze haya maswali yako.Umefuatiliaje? Instagram au? Twambie walianza lini hiyo sanaa na wana nini na nini kwa kiasi gani na kwa muda gani ili tuona ufuatiliaji wako uko na mashiko ndani yake na sio kuwalenga wasanii wetu kwa njia mbadala.
Mimi sijafuatili Instagram bali You tube, hivi huwa hamsomi na kuelewa mada?Huyu jamaa amefuatilia kupitia Insta, inawezekana hao aliowataja wanayo mafanikio kweli, lakini hata bongo hapa tunao wenye mafanikio pia huko Insta!
Kwahiyo tunajivunia katika hilo.
hhahahaahhahaaaIla ukimuangalia Falz na Roma Mkatoliki utagundua Roma kamuacha Falz mbali sana tena sana kwenye suala la ndevu.
Watanzania mnashindwa kusoma? Embu rejea mada uisome tena upunguze haya maswali yako.
Aisee popolation ni neno jipya?JIBU NI RAIS NIGERIA INA POPOLATION NA UCHUMI MKUBWA MARA 5 YA TANZANIA
Acha chai basi mkuu!Duniani Nigeria ni nchi ya tatu ambayo wasanii Wa muvi wanaingiza pesa kubwa,ya kwanza USA,ya pili INDIA
Sikuyajua haya, itabidi kina Wolper wahamie hukoDuniani Nigeria ni nchi ya tatu ambayo wasanii Wa muvi wanaingiza pesa kubwa,ya kwanza USA,ya pili INDIA
Wabongo maisha duni yamewatamalaki....mtabaki kushanga tuu ...vitu vya kawaida sana hivyo....wekeni bidii ya kutafuta mikondo ya pesa za halali....uduni wa maisha unawafanya kushanga shangaa samahani lknWadau wa JF celebrities,
Nimeyafuatilia maisha au lifestyles ya waigizaji wanne wa kike wa Nigeria kweli sikuyaamini mafanikio makubwa walioyonayo kimaisha.
Nimemfuatilia Omotola, Genevieve, Ini na Mercy kupitia You Tube.
Ni mafanikio matupu kuanzia vipato, magari, majumba nk.
Najiuliza ni sanaa ya Maigizo tu au kuna siri nyuma yake?
Wasanii wa kike Bongo wanakwama wapi?
Ninazo sana tu.kitendo tu cha kufuatilia maisha ya wengine kinaonesha hauna kazi ya kufanya mkuu, no offense
Yamekuwa hayo?Wabongo maisha duni yamewatamalaki....mtabaki kushanga tuu ...vitu vya kawaida sana hivyo....wekeni bidii ya kutafuta mikondo ya pesa za halali....uduni wa maisha unawafanya kushanga shangaa samahani lkn
Kweli we stivu.family mattersIla ukimuangalia Falz na Roma Mkatoliki utagundua Roma kamuacha Falz mbali sana tena sana kwenye suala la ndevu.
Ha ha haMheshimiwa Ayub Ndugagayi mwongozo kuhusu kamusi mpya tafadhari.