Nimefuatilia shutuma nyingi dhidi ya Sabaya zinaonesha zina ukakasi. Hongera Rais kwa kuruhusu uchunguzi juu yake

Nimefuatilia shutuma nyingi dhidi ya Sabaya zinaonesha zina ukakasi. Hongera Rais kwa kuruhusu uchunguzi juu yake

Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Punguza ujinga!!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hapo Jambazi sugu Lengai Ole Sabaya, likiwa na Majambazi wenzake yanaenda kupora mali za watu, huku yakitumia magari yenye namba bandia za Umoja wa Mataifa!

Na yule Kaka Jambazi Daudi Albert Bashite, ashukuru wale alio wapora fedha zao enzi zile za ile oparesheni yake feki ya madawa ya kulevya, walimvumilia. Wachaga hawanaga huu ujinga. Yaani mtu anahangaika kutafuta, wewe unaenda tu kuchukua! Mara nipe milioni 10! Mara milioni 15! Shenzi kabisa. Sijui ni kwa nini huyo Carthbert hakumtolea kabisa na posa, ili awe mke wake.
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Pole kwa maumivu. Kunywa Panadol yatatulia.
 
Hapo Jambazi sugu Lengai Ole Sabaya, likiwa na Majambazi wenzake yanaenda kupora mali za watu, huku yakitumia magari yenye namba bandia za Umoja wa Mataifa!

Na yule Kaka Jambazi Daudi Albert Bashite, ashukuru wale alio wapora fedha zao enzi zile za ile oparesheni yake feki ya madawa ya kulevya, walimvumilia. Wachaga hawanaga huu ujinga. Yaani mtu anahangaika kutafuta, wewe unaenda tu kuchukua! Mara nipe milioni 10! Mara milioni 15! Shenzi kabisa. Sijui ni kwa nini huyo Carthbert hakumtolea kabisa na posa, ili awe mke wake.
Alitaka kuwapiga matajiri wa mabus wakamzidi kete
 
Nani kakwepa kodi yeye ni TRA kama aliweza andaa walevi wakachezee miundombinu kisha kawasingizia wafanyabiashara Ili awapige pesa in bashite style alivyopiga pesa kwenye vita feki ya madawa kupitia kinga ya mwendazake.Nani ataweza muamini huyu jambazi kaona zaidi ya mara 2 kwenye ccctv akiwa na bunduki hadi UN wakalalamika kutumia gari au nembo yao kwenye uhalifu.Hio usiku wa saa 8 ndo kodi inadaiwa kwa bunduki.
Huyu jambazi ilifaa awe jela sema kulindana tu.
Ndiyo maana Mimi mtu akiniambia eti tusimlaumu Magufuli kwa vile alikuwa na mazuri yake kwa kweli lazima nimdharau Sana.

Magufuli aliishi na mijitu ya HOVYO Kama Makonda na Ole Sabaya kwa sababu na yeye mwenyewe alikuwa mtu wa HOVYO sana.

Mtu jeuri, mwizi, mbabe, mwongo, mwenye chuki, muuwaji, dhuluma na mbishi wa kijinga aliyeibishia dunia kuhusu Corona na akafa kwa Corona
 
Nabii Lema muona mbali.
 

Attachments

  • 2773202-4821ae9e9d8f0edd3dfa37412ea0253e.mp4
    4.5 MB
Ndiyo maana Mimi mtu akiniambia eti tusimlaumu Magufuli kwa vile alikuwa na mazuri yake kwa kweli lazima nimdharau Sana.

Magufuli aliishi na mijitu ya HOVYO Kama Makonda na Ole Sabaya kwa sababu na yeye mwenyewe alikuwa mtu wa HOVYO sana.

Mtu jeuri, mwizi, mbabe, mwongo, mwenye chuki, muuwaji, dhuluma na mbishi wa kijinga aliyeibishia dunia kuhusu Corona na akafa kwa Corona
Ndio alioendana nao.Hakika tulikuwa kifungoni vitani ujui kesho yako itakwisha salama au kwenye kiroba.Lkn Mungu you mwema usikia maombi ya wengi yafananayo Katu hakutuacha yatima.
 
New Member, umetumwa na nani kuja humu kumsafisha huyo mwendawazimu wako? Au ndiyo wewe mwenyewe Ole Sabaya umekuja kujitetea??
Amuulize MAKONDA,
Haya Mataga itawachukua muda Sana kuamini kuwa tupo awamu ya 6
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Kwa hiyo unamshutumu mama kiaina. Wewe na sabaya mkoje
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Jambazi sabaya ana kesi tele za kujibu mwache awajibike.
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Non sense Kabisa
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Wewe Dada Sukari Mine njoo usome ulichoandika last month
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Ndiyo hivyo ananyea debe na usiku huu lazima machalii wamfokoe
 
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.

Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.

Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .

Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.

Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.

Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Ukisikia Tanzania ina wapumbavu wengi, mmoja wapo ni Sukari Mine. Mleteni asome huu ugoro wake
 
Back
Top Bottom