Nimefuatilia Soka Tanzania tangu 1980s sijaona kama Chama

Majina tu uliowataja kama viungo wewe hujui Mpira wa Tanzania, usivamie historia ya mpira wetu
 
Walikuwa wanaomba mpira uishe licha ya kukutana na timu yenye safu butu ya ushambuliaji, wameshikilia bomba kwa maombi ya kila namna, lakini sio kila mechi watakutana na vipers na hapo ndipo pumba na mchele zitapojitenga
Hamjuagi mpira japo mnaupenda, mpira ni vita lila mtu anapambana.Juzi kati alipopigwa tatu raja mkachoonga, mtu mzimammoja ulaya huko kala saba, mwingine kafa sita.mchezaji anawezs timu hii akafanya vizuri pengne akashidwa.WANAKUJA WATU WANAKWAMBIA TENA KWA NAFSI YAKE HAJAONA OOH BERKANE.kwani chama kazaliwa simba?
 
Reject ya Berkene ni mfalme wa Simba. Mmecheza na timu ambayo ndani ya game 7 hawajaweza kufunga goli lolote. Timu pale hakuna.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wakati mwingine muwe mnaweka ushabiki pembeni na ku-judge mambo kwa uhalisia. Kwani Chama amewafunga Vipers tu kwenye CAFCL tangu aje Simba? Vipi Nkana Red Devils na wengine (aliowafunga misimu kadhaa nyuma) nao walikuwa vibonde? Yale magoli yake ya visigino, ambayo Aziz hajayafunga hapa nchini hujawahi kuyaona?
 
Kesho nasikia kuna timu ya wanawake, inacheza siku ya wanawake duniani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…