Nimefukuzwa kazi kisa kugoma kumfatia bosi vitumbua vya mia tisa

Aisee tena ukavibebe bila chombo ufungiwe kwny gazeti la udaku na unavyopenda udaku , ukinogewa na habari za udaku si vitamwagika.

Bado tena uanze kusubiri shilingi Mia hapana kwa kweli huku ushike vitumbua mara chenchi na umevaa mwachoma kumoyo mwishowe ujikwae bure ufe na kazi ukosee kiatu kichafuke, suruali pamoja na shati la kung'aa .
Kifupi umeupiga mwingi asikusumbue utapiga hata umachinga
 
Hahaa pole sana sasa kajiajiri mbele ya ofisi ya boss kuchoma vitumbua hahaaa,alafu kila asubuh unaingia kuchukua oda kwa boss. inaonyesha ofisi yenu ni ya kimaskini ivi hata mshahara ulikua unafika 200k kweli. Au alikutafutia sababu tu haiwezekani mpo posta uambiwe kalete vitumbua vya mia tisa . Ungemwambia boss acha ujinga vitumbua jero jero. Au kama ungetaka kumkomoa ungeenda uko unamaliza lisaa lixima
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila watu
 
Haya ndio nisiyoyapenda kwenye kuajiriwa yaani kuwa chini ya kima fulani.
Mimi hiyo kwangu ni dharau kubwa sana na lazima ningekupiga kichwa hata kama najua nitakosa hela ya kula.

Ni bora ufanye kazi kwa ajili yako mwenyewe au wewe ndio uwe boss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…