Nimefukuzwa kazi kisa nimekula chakula cha boss, inauma sana


Acha ulafi wa ngono
 
Picha kwanza ushauri utategemea na picha mbona huu ndio utaratibu wetu jamani πŸ˜ƒ
 
Hii hadithi ina mtiririko Wa uongo kuliko ukweli.

Mwambie Sekretari akuombee msamaha Kwa mpenziwe.
 

Mkuu kwani ninyi mliooa huwa mnaishi ghetto?

Thread 'Wanaume tunapigwa sana kwenye familia' Wanaume tunapigwa sana kwenye familia
Sisi tulio kwenye ndoa tunapigwa sana kwenye familia. Wanawake wamekuwa wabishi kama wenyeviti wa Serikali za Mtaa, yaani hawataki kutusomea mapato na matumizi ya familia.
 
Hahahaaaaa mazafanta

Yani nifanye kazi then nisilipwe bila sababu za msingi..!!!
Aisee nitawapiga tukio hapo ofisini hawato sahau maisha.
Tumia kichwa cha juu hicho cha chini kitakupeleka magereza
 
Kiwanda kikubwa,anapajua kwangu wakati hatujuwahi kuwasiliana,taarifa zimemfikia boss kwamba fulani alikuja kwangu,hicho kiwanda sijui kipo buza ya wapi au ya kwa mtogole
 
Ulafi mbaya, umekuponza, ulidhani uko Mbele kumbe upo Vingunguti kwa wafia mbususu, waswahili husema Umenyea kambi, Utachambia Sime
 
Umeacha kazi ya udalali mkuu na kazi ukipata kumbe!! Hongera aise
 
Kuna kampuni zinaendeshwa kihuni sana, yaani mtu tu anaagiza fulani asiwekewe mshahara na INAKUA!? Hao HR ni professional HRs au wanafanya kazi za HR? Bila barua, bila written warning bila reprimand bila....., nk basi mshahara unasitishwa na kazini kila siku unakuja? Strange, very strange
 
OMBA UPIGE TENA, SAFARI HII MPULIZE MKUNDU KABISA, ANAKUWA WAKO DAIMA HUYO. ATAKUWA ANAOMBA SAMAHANI KWA BOSI THEN ANARUDI KWAKO TENA KAZI INAENDELEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…