Nimefukuzwa kazi kisa nimekula chakula cha boss, inauma sana

Sasa wewe unafika tu bila hata kuchunguza unaanza kufakamia tuu?
 
Ongea na huyu chakula yake akuombee msamaha. Mwambie sababu ni yeye ndo maana unapata shida hapo kazini
 
Kamba hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…