Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
 
. Huo ni uongo, wakristo hatuna huo ukritimba...


. Yawezekana ulikuwa umevaa sare/dera/gauni/kazu na kikofia juu, maana huwa hamchelewi kila sehemu utakayofika Haijalishi upo eneo gani ni mwendo wa SALAM WALEKHO.
 
Sidhani Kama ni kweli, Sie Wakristu, especially sie wakatoliki ambao ndio wakristu Halisi na Original hatuna tabia hiyo.
Hatufukuzi hata Mpagani Kanisani.
Kwa Niaba ya TEC nalaani Kitendo Hicho.
Binadamu wote ni ndugu, na tunaweza kujenga Jamii, kufurahia Maisha yetu ya Kujamiiana bila kuweka tofauti zetu za Kidini.

AMDG!
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Kama kawa watoto wa mwisho kwa kulalama hamjambo..!! Mnalalamikia kila kitu.
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana.
Haifai kwa muislamu kushiriki sherehe ambazo hazipo katika sherehe za dini yake.
Misiba, harusi kwa jirani zako ruksa kwenda, kipaimara marufuku.
 
Kuna dini na madhehebu yenye ubaguzi ila katholiki, hapana mkuu. Wewe sema kwa nini umefukuzwa maana sijawahi kuona wala kusikia mtu kabaguliwa kwa kiwango hicho..

Tena ni kheri ingekuwa kiujirani ila kama ni hizo za kadi. Sio rahisi
 
Sidhani Kama ni kweli, Sie Wakristu, especially sie wakatoliki ambao ndio wakristu Halisi na Original hatuna tabia hiyo.
Hatufukuzi hata Mpagani Kanisani.
Kwa Niaba ya TEC nalaani Kitendo Hicho.
Binadamu wote ni ndugu, na tunaweza kujenga Jamii, kufurahia Maisha yetu ya Kujamiiana bila kuweka tofauti zetu za Kidini.

AMDG!
Kuna dhehebu angesema ni sawa maana zina ubaguzi hata kwa wakristu wenzao. Ila wakatholiki tena kwenye sherehe, sijawahi kushuhudia wala kusikia

Sisemi haiwezi kutokea ila naamini kuna vya zaidi katika hiyo story maana siamini kikawaida sherehe kubwa za kadi zikakosa mchanganyiko. Kuna tatizo somewhere
 
Back
Top Bottom