Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Wewe ni muislam km ulivyo jitambulisha mwenyewe, na sherehe husika ni ya kikristo, inakuhusu nini kuhudhuria ibada za imani za watu wengine, hapo tayari umeukosea uislam na kuna hatari kwa myenendo yako hiyo inaweza kuwa unajiita muslam kumbe siku nyingi umeshatoka ndani ya uislam bila kujijua, muislam hana ruhusa ya kuingia katika ibada za imani nyengine hapo tayari anakuwa amekufuru, na waliokufukuza katika ibada yao walikua sahihi sana, tena wamekusaidia.
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Acha tabia yako mbaya ya uongo na uzushi. Kwenye sherehe za Kikristo hakuna ubaguzi wa aina hiyo. Wewe sema tu hukuwa mgeni mualikwa/hiyo kadi ilikuwa ni ya kughushi
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea? Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana
Apo shida ni ubwabwa na vyuku sio
 
Wanaofanya kipaimara ni wakatoliki na walutheri and alike, sasa wewe ulienda kwa nani ili tukujibu vema?
 
Kiherehere ulikua nacho, yanini uende kwenye vitu na sherehe za watu, imeandikwa LAKUM DINU KUM WALIYADIIN,(Wao wanadini yao na nyie mna dini yenu) yann kushobokea utaratibu wa dini zingine, ulitakiwa sio kufukuzwa tu na makofi upigwe, wao wanakuona kama shushushu ,
 
Kuna dhehebu angesema ni sawa maana zina ubaguzi hata kwa wakristu wenzao. Ila wakatholiki tena kwenye sherehe, sijawahi kushuhudia wala kusikia

Sisemi haiwezi kutokea ila naamini kuna vya zaidi katika hiyo story maana siamini kikawaida sherehe kubwa za kadi zikakosa mchanganyiko. Kuna tatizo somewhere
Eyce, Uko sahihi sana Mkuu.
Wakristu tumefunzwa ukarimu na kupenda watu wote bila kujali imani zao!
 
Nilihudhuria harusi moja ya kiislam ukumbini, cha ajabu sikuona aliyevaa kanzu, baraghashia, hijabu wala jumba, yaani hakukuwa na alama yoyote ya kiislam. Watu walivalia kimagharibi kuanzia maharusi hadi wahudhuriaji huwezi kuwatambua dini zao. Miziki ilikuwa ni ya kidunia na kidogo ya kiinjili. Naambiwa huko msikitini ilikufungwa hiyo ndoa ndio walivalia kiislam tena mtindo wa kinigeria ila ukumbini wakapiga suti na shela plus muziki mnene na vyakula na vinywaji vya kumwaga
 
Sio kweli
Sio kweli kivipi ,yeye ni muislam sasa masuala ya kipa imara yalikuwa yanamuhusu nini?
Kwanza uisilam hauruhusu kuhudhuria sherehe za kidini ambayo ni tofauti na za kiislam.
Waisilam wanaruhusiwa kushirikiana na watu wengine kwenye mambo ya kijamii tu kama misiba,harusi,kusaidiana,ujirani mwema ,kufanya biashara na mambo mengi tu,lakini linapo kuja katika masuala ya ibada za kidini hutakiwi kujihusisha kivyovyote vile.
 
Nilihudhuria harusi moja ya kiislam ukumbini, cha ajabu sikuona aliyevaa kanzu, baraghashia, hijabu wala jumba, yaani hakukuwa na alama yoyote ya kiislam. Watu walivalia kimagharibi kuanzia maharusi hadi wahudhuriaji huwezi kuwatambua dini zao. Miziki ilikuwa ni ya kidunia na kidogo ya kiinjili. Naambiwa huko msikitini ilikufungwa hiyo ndoa ndio walivalia kiislam tena mtindo wa kinigeria ila ukumbini wakapiga suti na shela plus muziki mnene na vyakula na vinywaji vya kumwaga
Ndio inavyokua kwani kuna tatizo wakipiga nyimbo za Zabron?
 
Sisi huku ndugu zetu waislam tunawaalika hata kwenye sherehe za jumuia na wanakuja bila shida yoyote. Utakuwa ulikuwa unatafuta Shari.
 
shukuru Mungu huo upagani, maan vipaimara ni upagani.
yesu alibariki watoto akabatiza wakubwa
ibilisi anafanya kinyume chake
 
Back
Top Bottom