Niamini Mimi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2023
- 270
- 412
Mimi ni mkristo na hilo la nyanda juu kusini sikupingi,nipo huku now naona,japo inawezekana kutokana na wingi wa wakristo na uchache wa waislam!!!VAA KOBAZ ZAKO ONDOKA WAKRISTO WA MIKOANI NI WABAGUZI HASA NYANDA ZA JUU KUSINI