Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

Tutaamini vipi kama ni kweli kama umetunga kufurahisha jamvi?
Weka hiyo kadi ya mwaliko
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Sheikh wangu huu ni uongo wa wazi. Nawafahamu Wakristo. Umeandika ili kuchokoza mada. Ukumbini hakuna mtu anayeulizwa Dini,Kabila,Rangi au Itikadi. Hata siku moja.
 
Kweli nyani haoni kundule kwenye issue ya ubaguzi waislamu mufunge mabakuli yenu.
 
Kumbuka matukio yako labda na ww ulishafanya hvo Kwa kutokujua kwahyo na wao wanalipiza ubaya ubwela mzee
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Bado hujajua ndio kwanza unaanza kujua WAKRISTO ni wabaguzi sana sana na sio hapo kwenye KIPA IMARA hata kwenye kazi hii nchi ni bomu la saa haya mambo huyajui mpaka yakukute .Pole sana .
 
Hao wakristo feki. Mkristo halisi hawezi kumfukuza mgeni kwenye sherehe kwa sababu ya imani yake.
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?

Acha uongo ndugu. Dini sio sababu ya kutokubaliwa.
Sema sababu halisi. Ulialikwa au ulijialika? Uliheshimu taratibu zilizowekwa?
Kuna watu mnapenda vita ya kidini. Mafikiria vita ni mchezo wa kuigiza
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Ramli Chonganishi. Acha utoto
 
Haya sio maneno ya kuleta huku, hatujajua kulikuwa na Mazingira gani! Unaweza semq ulipigwa mkienda mahakamani kunbe wewe ndiyo uliyepiga! Huu ni uchochezi aisee!
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Ulialikwa kwa kadi kabisa alafu ukafukuzwa. Incoherent...
 
Tukisema ni ubaguzi nitakuwa nimekosea?

Kuna kasumba huku mkoa ninao ishi kuna ubaguzi ambao ndugu zangu wa upande wa pili yaani wakristo wanaufanya siandiki kwa ubaya wala ugomvi na mtu fulani kusema ukweli wakristo wa huku au sijui kote wapo hivyo wana ubaguzi sana iweje mimi nialikwe kwenye kipaimara na kupewa kadi kabisa ila nimefika tu ukumbini nimefukuzwa kuuliza sababu ni nini eti naambiwa mimi ni muislamu siruhusiwi kuhudhuria sherehe za wakristo eeeeh! Nimejiuliza sana maswali kwanini ndugu zangu hawa ni wabaguzi sana?
Sasa jaman dah
 
Hiyo ni sherehe ya kidini ambayo inawahusu watu wa dini husika.
Alichokisema mpandisha uzi siyo kweli! Ulichokisema wewe siyo kweli pia. Sherehe za kidini hufanyika kanisani baada ya pale huwa hafla/tafrija ya kawaida tu.
Tusijadili mambo ya dini
 
Haiwezekani, sisi wakatoliki mbona ni watu poa sana tu na wapenda aman.

Ingekuwa vice versa ningesema ni kwel, lkn kwetu sisi hatunaga tabia za hivo. We value and respect each faith, unlike kwenu ninyi waislam.
Hujipendelea sana na for sure mna ka tabia ka ubaguzi. Nmeshuhudia hii apa bongo, na nchi nyingne mbili za East Africa nlikoishi.

Lkn pia naisi ulvaa kibalagashia na kanzu, kwan kwa kuvaa nguo za kawaida wasingegundua kuwa we ni muislam. Mambo mengine ni kujiongeza tu ile ni sherehe ya dini so ukivaa hvo kdgo unakuw hauendan na hafla yenyew, waweza kuhisiwa hta vibaya.
 
Back
Top Bottom